Kitendo cha viongozi wa CHADEMA kupuuza kushiriki kongamano la dini ni aibu na fedheha kwa chama chao

Kitendo cha viongozi wa CHADEMA kupuuza kushiriki kongamano la dini ni aibu na fedheha kwa chama chao

Wadau,

Recalling back to Kongamano lililoandaliwa na viongozi wa dini zote (wakristu/wakristo na waislamu), Kongamano ambalo pamoja na mada na jumbe mbali mbali zilizowasilishwa, lakini pia ilikuwa na mada moja kuu ambalo ilikuwa ni Kumshukuru Mungu kwa ajili ya maisha ya Hayati Dr. John Pombe Magufuli.

Lile kongamano lilikuwa kubwa, na lilihudhuriwa na viongozi wengi wa dini, viongozi wa serikali akiwemo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama yetu Samia Suluhu Hassan aliyeambatana aliyeambatana na Makamu wa Rais Philip Mpango, Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge Job Ndugai, Jaji Mkuu Ibrahim Juma, viongozi wa ulinzi na usalama, mawaziri na manaibu mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya na viongozi wengine wengi kwa ujumla wao.

Kongamano pia lilihudhuriwa na viongozi wa siasa walioambatana na msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi. Kwa upande wa viongozi wa vyama vya siasa tulimwona Mh. John Shibuda.

Jambo la kushangaza hatukuwaona wanaojidai chama kikuu cha upinzani Tanzania, tena kwenye tukio muhimu la Kumshukuru Mungu kwa nchi yetu kubaki salama hata baada ya kifo cha Rais Magufuli, na Mama yetu Samia kuapa kuongoza nchi katika mazingira salama na safi.

Kitendo cha CHADEMA kususia kushiriki kongamano kinatuonyesha sisi watanzania tuwaangalie kwa jicho la pili, maana inadhihirisha hawa jamaa hawana uzalendo, na ndiyo wanaocheza ngoma za fitna mitandaoni wengine wanademka huko.

Ushauri wa bure kwa CHADEMA. Kuweni wazalendo, achaneni na siasa za chuki, kubalianeni kutokukubaliana maisha yasonge mbele. Kauli ya mama yetu Samia kwamba ni wakati wa kuungana pamoja na kufutana machozi haitakuwa na maana kama mmejifungia twiter huku mmenuna.

Badilikeni
CHADEMA ni chama cha siasa na sio chama cha Kidini, sio lazima kuhudhuria
 
Wadau,

Recalling back to Kongamano lililoandaliwa na viongozi wa dini zote (wakristu/wakristo na waislamu), Kongamano ambalo pamoja na mada na jumbe mbali mbali zilizowasilishwa, lakini pia ilikuwa na mada moja kuu ambalo ilikuwa ni Kumshukuru Mungu kwa ajili ya maisha ya Hayati Dr. John Pombe Magufuli.

Lile kongamano lilikuwa kubwa, na lilihudhuriwa na viongozi wengi wa dini, viongozi wa serikali akiwemo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama yetu Samia Suluhu Hassan aliyeambatana aliyeambatana na Makamu wa Rais Philip Mpango, Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge Job Ndugai, Jaji Mkuu Ibrahim Juma, viongozi wa ulinzi na usalama, mawaziri na manaibu mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya na viongozi wengine wengi kwa ujumla wao.

Kongamano pia lilihudhuriwa na viongozi wa siasa walioambatana na msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi. Kwa upande wa viongozi wa vyama vya siasa tulimwona Mh. John Shibuda.

Jambo la kushangaza hatukuwaona wanaojidai chama kikuu cha upinzani Tanzania, tena kwenye tukio muhimu la Kumshukuru Mungu kwa nchi yetu kubaki salama hata baada ya kifo cha Rais Magufuli, na Mama yetu Samia kuapa kuongoza nchi katika mazingira salama na safi.

Kitendo cha CHADEMA kususia kushiriki kongamano kinatuonyesha sisi watanzania tuwaangalie kwa jicho la pili, maana inadhihirisha hawa jamaa hawana uzalendo, na ndiyo wanaocheza ngoma za fitna mitandaoni wengine wanademka huko.

Ushauri wa bure kwa CHADEMA. Kuweni wazalendo, achaneni na siasa za chuki, kubalianeni kutokukubaliana maisha yasonge mbele. Kauli ya mama yetu Samia kwamba ni wakati wa kuungana pamoja na kufutana machozi haitakuwa na maana kama mmejifungia twiter huku mmenuna.

Badilikeni
Je walipewa official invitation? Kama hapana ulitaka chama kijialike? Then hii tabia ya kutumia neno uzalendo pasipo hitajika achana nayo. Hata CCM kama hawajaalikwa kweny jambo flan wasipokwenda hatuwez kuwalaumu maana kujialikisha ni kama wanajipendekeza.
 
Mleta mada amekosea au? Kwani Chadema ipo, si ilishajifia? Maana tunasikia wananchi wa Tanzania waliikataa Chadema kwenye sanduku la kura na wakawapigia kura za ndiyo sisiemu wakajazana bungeni. Sasa watu hawatakiwi na wananchi, huko kwenye kongamano waje kama nani? Jamaa wanateseka sana

20210331_215539.jpg
 
... kumuombea mwendazake??? Never on earth!
 
Wadau,

Recalling back to Kongamano lililoandaliwa na viongozi wa dini zote (wakristu/wakristo na waislamu), Kongamano ambalo pamoja na mada na jumbe mbali mbali zilizowasilishwa, lakini pia ilikuwa na mada moja kuu ambalo ilikuwa ni Kumshukuru Mungu kwa ajili ya maisha ya Hayati Dr. John Pombe Magufuli.

Lile kongamano lilikuwa kubwa, na lilihudhuriwa na viongozi wengi wa dini, viongozi wa serikali akiwemo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama yetu Samia Suluhu Hassan aliyeambatana aliyeambatana na Makamu wa Rais Philip Mpango, Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge Job Ndugai, Jaji Mkuu Ibrahim Juma, viongozi wa ulinzi na usalama, mawaziri na manaibu mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya na viongozi wengine wengi kwa ujumla wao.

Kongamano pia lilihudhuriwa na viongozi wa siasa walioambatana na msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi. Kwa upande wa viongozi wa vyama vya siasa tulimwona Mh. John Shibuda.

Jambo la kushangaza hatukuwaona wanaojidai chama kikuu cha upinzani Tanzania, tena kwenye tukio muhimu la Kumshukuru Mungu kwa nchi yetu kubaki salama hata baada ya kifo cha Rais Magufuli, na Mama yetu Samia kuapa kuongoza nchi katika mazingira salama na safi.

Kitendo cha CHADEMA kususia kushiriki kongamano kinatuonyesha sisi watanzania tuwaangalie kwa jicho la pili, maana inadhihirisha hawa jamaa hawana uzalendo, na ndiyo wanaocheza ngoma za fitna mitandaoni wengine wanademka huko.

Ushauri wa bure kwa CHADEMA. Kuweni wazalendo, achaneni na siasa za chuki, kubalianeni kutokukubaliana maisha yasonge mbele. Kauli ya mama yetu Samia kwamba ni wakati wa kuungana pamoja na kufutana machozi haitakuwa na maana kama mmejifungia twiter huku mmenuna.

Badilikeni
Una hakika walialikwa?
 
Mleta mada tumia akili yako kufikiri!
Kumshukuru Mungu, hivi kweli?
Walifungwa
walibambikiwa kesi
Marisasi
Kuporwa mali zao
Kudhalilishwa
Kuonewa
Kutukanwa
Kuporwa ushindi wao
Kupotea kwa baadhi ya watu!
Chadema sio wanafiki kama walivyo ccm.
 
CDM inataka national reconciliation (Tume huru ya maridhiano) - ndiyo dawa ya kutibu majeraha...hapa tunapoongea kuna viongozi na wanachama wa CDM zaidi ya 300 magelezani nchi nzima ikiwa ni zao la uchaguzi Mkuu uliopita..zote zikiwa kesi za kubambikiziwa...
Haya yote viongozi wa dini hawayaoni wao wanachokiona ni kutumika kutengeneza legacy ya Magufuli ya haraka haraka...

CDM waende kufanya nini kwenye kongamano hilo?? Nimesikitika sana kuwaona viongozi wa dini ninaowaheshimu kabisa wakiwa hapo kutumika kisiasa.
 
Mara CHADEMA vibaraka wa mabeberu, wanapenda ushoga, wanataka kuuza, sio wazalendo... mara mbona hatuwaona kwenye shughuli za "kitaifa".

MATAGA chagueni moja, msiwe vigeugeu.
 
Wadau,

Recalling back to Kongamano lililoandaliwa na viongozi wa dini zote (wakristu/wakristo na waislamu), Kongamano ambalo pamoja na mada na jumbe mbali mbali zilizowasilishwa, lakini pia ilikuwa na mada moja kuu ambalo ilikuwa ni Kumshukuru Mungu kwa ajili ya maisha ya Hayati Dr. John Pombe Magufuli.

Lile kongamano lilikuwa kubwa, na lilihudhuriwa na viongozi wengi wa dini, viongozi wa serikali akiwemo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama yetu Samia Suluhu Hassan aliyeambatana aliyeambatana na Makamu wa Rais Philip Mpango, Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge Job Ndugai, Jaji Mkuu Ibrahim Juma, viongozi wa ulinzi na usalama, mawaziri na manaibu mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya na viongozi wengine wengi kwa ujumla wao.

Kongamano pia lilihudhuriwa na viongozi wa siasa walioambatana na msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi. Kwa upande wa viongozi wa vyama vya siasa tulimwona Mh. John Shibuda.

Jambo la kushangaza hatukuwaona wanaojidai chama kikuu cha upinzani Tanzania, tena kwenye tukio muhimu la Kumshukuru Mungu kwa nchi yetu kubaki salama hata baada ya kifo cha Rais Magufuli, na Mama yetu Samia kuapa kuongoza nchi katika mazingira salama na safi.

Kitendo cha CHADEMA kususia kushiriki kongamano kinatuonyesha sisi watanzania tuwaangalie kwa jicho la pili, maana inadhihirisha hawa jamaa hawana uzalendo, na ndiyo wanaocheza ngoma za fitna mitandaoni wengine wanademka huko.

Ushauri wa bure kwa CHADEMA. Kuweni wazalendo, achaneni na siasa za chuki, kubalianeni kutokukubaliana maisha yasonge mbele. Kauli ya mama yetu Samia kwamba ni wakati wa kuungana pamoja na kufutana machozi haitakuwa na maana kama mmejifungia twiter huku mmenuna.

Badilikeni
Wewe ni walee wanaotafuta vyeo kwa rais mpya.Hutapata.
 
Wadau,

Recalling back to Kongamano lililoandaliwa na viongozi wa dini zote (wakristu/wakristo na waislamu), Kongamano ambalo pamoja na mada na jumbe mbali mbali zilizowasilishwa, lakini pia ilikuwa na mada moja kuu ambalo ilikuwa ni Kumshukuru Mungu kwa ajili ya maisha ya Hayati Dr. John Pombe Magufuli.

Lile kongamano lilikuwa kubwa, na lilihudhuriwa na viongozi wengi wa dini, viongozi wa serikali akiwemo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama yetu Samia Suluhu Hassan aliyeambatana aliyeambatana na Makamu wa Rais Philip Mpango, Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge Job Ndugai, Jaji Mkuu Ibrahim Juma, viongozi wa ulinzi na usalama, mawaziri na manaibu mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya na viongozi wengine wengi kwa ujumla wao.

Kongamano pia lilihudhuriwa na viongozi wa siasa walioambatana na msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi. Kwa upande wa viongozi wa vyama vya siasa tulimwona Mh. John Shibuda.

Jambo la kushangaza hatukuwaona wanaojidai chama kikuu cha upinzani Tanzania, tena kwenye tukio muhimu la Kumshukuru Mungu kwa nchi yetu kubaki salama hata baada ya kifo cha Rais Magufuli, na Mama yetu Samia kuapa kuongoza nchi katika mazingira salama na safi.

Kitendo cha CHADEMA kususia kushiriki kongamano kinatuonyesha sisi watanzania tuwaangalie kwa jicho la pili, maana inadhihirisha hawa jamaa hawana uzalendo, na ndiyo wanaocheza ngoma za fitna mitandaoni wengine wanademka huko.

Ushauri wa bure kwa CHADEMA. Kuweni wazalendo, achaneni na siasa za chuki, kubalianeni kutokukubaliana maisha yasonge mbele. Kauli ya mama yetu Samia kwamba ni wakati wa kuungana pamoja na kufutana machozi haitakuwa na maana kama mmejifungia twiter huku mmenuna.

Badilikeni
Lini umetoka jando?
 
Kongamano la kumuombea marehemu, duh wacha wafu wakazike wafu wenzao
 
nyie CCM akili zenu mwazijua wenyewe, Chadema iko makini sana, huyo shibuda ni muwakilishi wa vyama vya siasa nchini ikiwemo Chadema. Sasa mlitaka Jopo la ngazi ya juu Chadema waje kushiriki Uongo?pambaneni na hali zenu.
 
Chadema na yenyewe inao viongozi wao wa dini ambao huwa nao kwenye shida na raha.Askofu Mwamakula na Sheikh Ponda,ni viongozi wa dini wanaokuwa bega kwa bega na Chadema.Hao waliokuwa kwenye kongomano ni viongozi wa dini wa CCM!
 
Yaani humu jukwaani Kuna watu wanaakili za kushikiliwa, kwa mabaya yote Magufuli aliyowafanyia wapinzani bado wajipendekeze kwa lipi
 
Back
Top Bottom