Bado mnaangaika na mfu? Ndiyo mkome kuabudu watu.Kwani bado wapo maana hata kigoma hawajashiriki uchaguzi mdogo, walitegemea kitu wamekosa wanendelea kusubiri mtelemko mwingine nao watakosa yaani haya majamaa yatasubiri sana, labda karne ijayo,. Eti katiba mpya, wakati wa mchakato waliingizwa mkenge la ze la professee wakakimbia mchakato, sembuse mchakato wa kesho. Akili ndogo
Acha hayo mjinga yasumbuke na Mfu Magufuli. Hayajawai hata kumshukuru Mungu kwa ajili ya wazazi wao. Haya mateso wanayopata ndiyo iwe Fundisho kwa waabudu watu.Yaani humu jukwaani Kuna watu wanaakili za kushikiliwa, kwa mabaya yote Magufuli aliyowafanyia wapinzani bado wajipendekeze kwa lipi
Acha UPUMBAVU wewe, Chadema haiwezi kushiriki kwenye jambo lolote lile linalomhusu MFITINI wao. Mwendazake alikuwa dikteta, hakuna namna ya kuweza kuhalalisha hiyo HARAMU.
Wadau,
Recalling back to Kongamano lililoandaliwa na viongozi wa dini zote (wakristu/wakristo na waislamu), Kongamano ambalo pamoja na mada na jumbe mbali mbali zilizowasilishwa, lakini pia ilikuwa na mada moja kuu ambalo ilikuwa ni Kumshukuru Mungu kwa ajili ya maisha ya Hayati Dr. John Pombe Magufuli.
Lile kongamano lilikuwa kubwa, na lilihudhuriwa na viongozi wengi wa dini, viongozi wa serikali akiwemo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama yetu Samia Suluhu Hassan aliyeambatana aliyeambatana na Makamu wa Rais Philip Mpango, Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge Job Ndugai, Jaji Mkuu Ibrahim Juma, viongozi wa ulinzi na usalama, mawaziri na manaibu mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya na viongozi wengine wengi kwa ujumla wao.
Kongamano pia lilihudhuriwa na viongozi wa siasa walioambatana na msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi. Kwa upande wa viongozi wa vyama vya siasa tulimwona Mh. John Shibuda.
Jambo la kushangaza hatukuwaona wanaojidai chama kikuu cha upinzani Tanzania, tena kwenye tukio muhimu la Kumshukuru Mungu kwa nchi yetu kubaki salama hata baada ya kifo cha Rais Magufuli, na Mama yetu Samia kuapa kuongoza nchi katika mazingira salama na safi.
Kitendo cha CHADEMA kususia kushiriki kongamano kinatuonyesha sisi watanzania tuwaangalie kwa jicho la pili, maana inadhihirisha hawa jamaa hawana uzalendo, na ndiyo wanaocheza ngoma za fitna mitandaoni wengine wanademka huko.
Ushauri wa bure kwa CHADEMA. Kuweni wazalendo, achaneni na siasa za chuki, kubalianeni kutokukubaliana maisha yasonge mbele. Kauli ya mama yetu Samia kwamba ni wakati wa kuungana pamoja na kufutana machozi haitakuwa na maana kama mmejifungia twiter huku mmenun
Tutaupinga kwa maandamano yasiyo na kikomo, mikono ya Mwendazake imesheheni damu za maelfu wasio na hatia. HATUTAKUBALI ASILANI.Tumeshaandika barua ya kuomba mchakato wa St Magufuli...[emoji16]
Wanachama wanatoka wapi wakati kinachowafanya waitwe wanachama ni CHAMA NA MIMEKUFA?Chama kimekufa lkn wanachama bado wapo hai, kwahiyo wangefika hata wanachama isingekuwa mbaya.
Tutaupinga kwa maandamano yasiyo na kikomo, mikono ya Mwendazake imesheheni damu za maelfu wasio na hatia. HATUTAKUBALI ASILANI.
Acheni kuufananisha (Utakatifu) na vitu vya ajabu ajabu.[emoji16][emoji16]
Mlimnukuu vibaya...
President hawezi kuua hata inzi...
Ni wasaidiI wake wanaweza kufanya mambo ya ovyo kama hayo..
St Magufuli... the 1st mtakatifu toka Tanzania...
Kwahiyo hao walihudhuria walimfufua au kumfanya aingie mbinguni kwa Mungu ? Kuweni na adabu mnapotaka kuandika
Labda walitaka ‘nyomi’ kama la kwenye mazishi, watu wakanyagane, wanywe tena damu za watu!Acha hayo mjinga yasumbuke na Mfu Magufuli. Hayajawai hata kumshukuru Mungu kwa ajili ya wazazi wao. Haya mateso wanayopata ndiyo iwe Fundisho kwa waabudu watu.
Wadau,
Recalling back to Kongamano lililoandaliwa na viongozi wa dini zote (wakristu/wakristo na waislamu), Kongamano ambalo pamoja na mada na jumbe mbali mbali zilizowasilishwa, lakini pia ilikuwa na mada moja kuu ambalo ilikuwa ni Kumshukuru Mungu kwa ajili ya maisha ya Hayati Dr. John Pombe Magufuli.
Lile kongamano lilikuwa kubwa, na lilihudhuriwa na viongozi wengi wa dini, viongozi wa serikali akiwemo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama yetu Samia Suluhu Hassan aliyeambatana aliyeambatana na Makamu wa Rais Philip Mpango, Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge Job Ndugai, Jaji Mkuu Ibrahim Juma, viongozi wa ulinzi na usalama, mawaziri na manaibu mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya na viongozi wengine wengi kwa ujumla wao.
Kongamano pia lilihudhuriwa na viongozi wa siasa walioambatana na msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi. Kwa upande wa viongozi wa vyama vya siasa tulimwona Mh. John Shibuda.
Jambo la kushangaza hatukuwaona wanaojidai chama kikuu cha upinzani Tanzania, tena kwenye tukio muhimu la Kumshukuru Mungu kwa nchi yetu kubaki salama hata baada ya kifo cha Rais Magufuli, na Mama yetu Samia kuapa kuongoza nchi katika mazingira salama na safi.
Kitendo cha CHADEMA kususia kushiriki kongamano kinatuonyesha sisi watanzania tuwaangalie kwa jicho la pili, maana inadhihirisha hawa jamaa hawana uzalendo, na ndiyo wanaocheza ngoma za fitna mitandaoni wengine wanademka huko.
Ushauri wa bure kwa CHADEMA. Kuweni wazalendo, achaneni na siasa za chuki, kubalianeni kutokukubaliana maisha yasonge mbele. Kauli ya mama yetu Samia kwamba ni wakati wa kuungana pamoja na kufutana machozi haitakuwa na maana kama mmejifungia twiter huku mmenuna.
Badilikeni
Acheni kuufananisha (Utakatifu) na vitu vya ajabu ajabu.
EXTREMELY RUBBISH ,BEYOND REPAIRrubbish