Kitendo cha viongozi wa CHADEMA kupuuza kushiriki kongamano la dini ni aibu na fedheha kwa chama chao

Kuna makosa mawili yaliyofanyi na hao waandaa kongamano.
AGENDA,KUMSHUKURU MUNGU KWA MAISHA YA MAGUFULI HAPA DUNIANI
1. Mangufuli aliwachukia Sana wapinzani, akawafunga korok8roni, aliwateka, alipiga risasi na kuwaua wengine.
MLITAZAMIA WAPINZANI WAKASHUKURU HILO
KWA HAKIKA WATASHUKURU MUNGU KUMUONDOA

2.Wakati magufuli anawaburuta wapinzani na kuwaua mbona hawakuitisha kongamano la kumwomba Mungu ili uonevu uondolewe?
Leo mlitazamia wapinzani wakusanyike kwa unafiki unaofanywa na hao viongozi wa dini?

HUO NI USHENZI SAWA NA USHETANI TU
 
Walialikwa? Tuanzie hapo

Kwa hao viongozi wa dini tulionao kwenye nchi yetu kwa sasa sitegemei watoe mualiko kama huo.
 
Walialikwa? Tuanzie hapo

Kwa hao viongozi wa dini tulionao kwenye nchi yetu kwa sasa sitegemei watoe mualiko kama huo.
Kongamano lilitangazwa kwenye nyumba za ibada, na viongozi wa kada zote walialikwa. Unless viongozi wa CHADEMA hawana dini, hivyo hawakupata taarifa kwakuwa hawaendi makanisani wala misikitini.
 
Wangekua wenyewe ungesikia serikal ndio imemuua kiongoz wao ndiomana hakwenda mfano kwa Tundulisu alipopigwa Risas waliamua kusema Magufuli ndio Kampiga Risas sabab tu hakwenda kumuona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…