Kitendo cha vyama pinzani kususia uchaguzi hakina afya katika demokrasia. Suluhu ni mgombea binafsi?

Kitendo cha vyama pinzani kususia uchaguzi hakina afya katika demokrasia. Suluhu ni mgombea binafsi?

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Kulingana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano yenye kutoa muongozo wa kidemokrasia lengo ni kutufanya wananchi kuweza kushiriki katika maamuzi yetu kupitia chaguzi zetu, lakini kwa bahati mbaya kuna mkusanyiko wa matukio ya kususia uchaguzi ambao unafanywa na vyama pinzani mfano CHADEMA katika nyakati hizi, ambapo kunasababisha kuleta sintonfahamu na vurugu kwa baadhi ya maeneo pamoja na kuwakosesha wananchi haki zao.

Je, suluhisho ni kuanzisha utaratibu wa mabadiliko ya katiba ili kuruhusu private candidate wenye kukuza demokrasia, pia kuondosha migogoro na uhasama kwa wananchi?

NAWASILISHA
 
Back
Top Bottom