Kitendo cha Waziri Simbachewene kuvaa picha ya Samia badala ya nembo ya taifa, sio ishara nzuri

Kitendo cha Waziri Simbachewene kuvaa picha ya Samia badala ya nembo ya taifa, sio ishara nzuri

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Screenshot_20250305-175803.png

Screenshot_20250305-175845.png

Jana nilipata wasaa wa kumuona Waziri Simbachawene katika shuguli za kiserikali. Katika kutupia macho dress code yake nibaini amepachika nembo katika suti yake. Kusogeza zaidi nikabaini haikuwa nembo ya taifa bali ni picha ya Samia.

Wakuu tumefika huku? Sikumbuki kama tumewahi kufika huku kabla. Hata walioanzisha uchawa hawakudhamiria kufika kiwango hiki. Hiki ni kiwango kikubwa kabisa cha kukosa uzalendo na nchi.
 
Uchawa pro max,viongozi kuwa misukule wa rais ni hatari,rais amezungukwa na wanafiki na wasakatonge tuu,wamechaguliwa kuwakilisha wananchi,kuikosoa serikali na kuishauri,ila ukifikia kiwango hiking cha uchawa kutwa kumwimbia mapambio rais huwezi tena kuikosoa.

Itakuwa kama sala ya bikra Maria,
mama samia suluhu hasani umejaa neeema,umebarikiwa kuliko wanawake wote...... ................
na kufuru zingine nyinyi wanatamka Bullshit 🤣🤣🤣🤣
 
View attachment 3260011
View attachment 3260012
Jana nilipata wasaa wa kumuona Waziri Simbachawene katika shuguli za kiserikali. Katika kutupia macho dress code yake nibaini amepachika nembo katika suti yake. Kusogeza zaidi nikabaini haikuwa nembo ya taifa bali ni picha ya Samia.

Wakuu tumefika huku? Sikumbuki kama tumewahi kufika huku kabla. Hata walioanzisha uchawa hawakudhamiria kufika kiwango hiki. Hiki ni kiwango kikubwa kabisa cha kukosa uzalendo na nchi.
mahaba
 
View attachment 3260011
View attachment 3260012
Jana nilipata wasaa wa kumuona Waziri Simbachawene katika shuguli za kiserikali. Katika kutupia macho dress code yake nibaini amepachika nembo katika suti yake. Kusogeza zaidi nikabaini haikuwa nembo ya taifa bali ni picha ya Samia.

Wakuu tumefika huku? Sikumbuki kama tumewahi kufika huku kabla. Hata walioanzisha uchawa hawakudhamiria kufika kiwango hiki. Hiki ni kiwango kikubwa kabisa cha kukosa uzalendo na nchi.
Infact,
ni uzalendo wa kifahari na ujasiri wenye dhamira na nia njema ya kuunga mkono azma ya maendeleo ya Rais Dr Samia Suluhu Hassan, kwa waTanzania wote 🐒
 
View attachment 3260011
View attachment 3260012
Jana nilipata wasaa wa kumuona Waziri Simbachawene katika shuguli za kiserikali. Katika kutupia macho dress code yake nibaini amepachika nembo katika suti yake. Kusogeza zaidi nikabaini haikuwa nembo ya taifa bali ni picha ya Samia.

Wakuu tumefika huku? Sikumbuki kama tumewahi kufika huku kabla. Hata walioanzisha uchawa hawakudhamiria kufika kiwango hiki. Hiki ni kiwango kikubwa kabisa cha kukosa uzalendo na nchi.


Huyu sidhani atakuwa sawasawa. Mwanaume mzima bila ya aibu, unatembea umebandika picha ya mke wa mwanaume mwenzako!!
Kama ana hamu ya kutembea amebandika picha za wanawake, ni aheri angeweka hata ya mama yake mzazi au ya mkewe.

Mtu wa namna hii lazima, atakuwa hayupo sawa. Hii nchi ndiyo maana haipigi hatua kwa sababu tunaongozwa na watu wa ajabu sana!!
 
View attachment 3260011
View attachment 3260012
Jana nilipata wasaa wa kumuona Waziri Simbachawene katika shuguli za kiserikali. Katika kutupia macho dress code yake nibaini amepachika nembo katika suti yake. Kusogeza zaidi nikabaini haikuwa nembo ya taifa bali ni picha ya Samia.

Wakuu tumefika huku? Sikumbuki kama tumewahi kufika huku kabla. Hata walioanzisha uchawa hawakudhamiria kufika kiwango hiki. Hiki ni kiwango kikubwa kabisa cha kukosa uzalendo na nchi.
Haya ni machache, bado mengine yanakuja........ Waswahili wanasema kipandwacho ndicho kivunwacho. Huu ni mwanzo tu wa safari, bado katikati, bado mwishoni........
 
View attachment 3260011
View attachment 3260012
Jana nilipata wasaa wa kumuona Waziri Simbachawene katika shuguli za kiserikali. Katika kutupia macho dress code yake nibaini amepachika nembo katika suti yake. Kusogeza zaidi nikabaini haikuwa nembo ya taifa bali ni picha ya Samia.

Wakuu tumefika huku? Sikumbuki kama tumewahi kufika huku kabla. Hata walioanzisha uchawa hawakudhamiria kufika kiwango hiki. Hiki ni kiwango kikubwa kabisa cha kukosa uzalendo na nchi.
Haya majitu ya shule za Kata yanajaza nyuzi humu
 
Mahaba mahaba mahaba mahaba, ukimchanja damu yake inatoka sura ya mama
 
Tuna safari ndefu sana kufikia maendeleo kama Taifa chini viongozi kama hawa
 
Uchawa una mashindano eehhh?!
😮😯😲🫢😧
 
Back
Top Bottom