Kitenge aigeuka DP World? Hii Nukuu yake inafikirisha

MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.

Amina Tena Amina Amina Tena amina


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
 
Huyo anajiaemea tu. Inawezekana hakujua kama linaweza kumtokea puani na akafukuzwa toka kwenye pakacha la chawa wenzie
 
Huwezi kukwepe uwekezaji , kiufupi mwafrika hajui chochote hata elimu analetewa .
 
Rushwa imekwisha ss anataka tena!! Na DP wameziba mackio.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…