Kitenge ana shughuli gani Marekani?

Kitenge ana shughuli gani Marekani?

[emoji38] [emoji38] [emoji38] Ndugu yangu yani naonaga hizo ni tabia za wakina dada zetu, sisi wanaume hayo mambo ya nini sasa, yani huwa inakera watu wenye hiyo tabia huwa kwenye whatsap ninawa mute
Wewe maisha mafupi haya. Kama nafsi yake inasuuzika wacha afanye. Ni njia mojawapo ya kuepusha nafsi na misongo ya mawazo isiyohitajika.
 
Sema nimegundua Kitenge hizo safari huwa zinaambatana na matangazo ya biashara bidhaa mbalimbali
 
Kitenge ni celebrity probably amepata host ambae
ame moffer Staying+ Return ticket hio ni kawaida ukiwa na marafiki Abroad afu kwa nature ya kazi yake si lazima awepo ofisini ndio afanye kazi ata mimi nilipata offer kwa rafiki yangu mfinland ya makorokoro yote ila sikwenda kwa sababu zangu binafsi
Sema aliomba ukamkandamize
 
Hello JF,

Baraka za Mungu zitande juu yenu katika kutafuta mkate wa leo.

Sasa wakuu iko hivi, ni karibu mwezi sasa huyu mwanahabari na mdau wa michezo nguli yuko kwa Trump. Hata habari huwa anareport kutokea huko. Ninachojiuliza kwa sasa kuna umuhimu gani yeye kuwa huko. Najua kwa aina ya kazi yake kusafiri ni kawaida hususani kama kuna tukio la kimichezo kwenye nchi husika.

Lakini kwa sasa huko alipo hakuna tukio lolote la kimichezo hata habari anazoreport huwa ni kutokea hapa nchini, anazireport habari za hapa nchini akiwa USA. Sasa Je, kipi kinamfanya azurure huko USA. Je, ni kwa pesa za ofisi? Si matumizi ya pesa yasiyo ya lazima hayo?

We ni mshambaaa sana kama huna kazi tulia wenye kazi zao waache wafanye...dunia ni kijiji kwaiyo usiwe na mawazo ya kindeziii....we mkudaa
 
Hello JF,

Baraka za Mungu zitande juu yenu katika kutafuta mkate wa leo.

Sasa wakuu iko hivi, ni karibu mwezi sasa huyu mwanahabari na mdau wa michezo nguli yuko kwa Trump. Hata habari huwa anareport kutokea huko. Ninachojiuliza kwa sasa kuna umuhimu gani yeye kuwa huko. Najua kwa aina ya kazi yake kusafiri ni kawaida hususani kama kuna tukio la kimichezo kwenye nchi husika.

Lakini kwa sasa huko alipo hakuna tukio lolote la kimichezo hata habari anazoreport huwa ni kutokea hapa nchini, anazireport habari za hapa nchini akiwa USA. Sasa Je, kipi kinamfanya azurure huko USA. Je, ni kwa pesa za ofisi? Si matumizi ya pesa yasiyo ya lazima hayo?

Mkuu tafuta kwanza maendeleo ya ndugu zako huko Sigimbi, mambo ya Kitenge wala hayawezi kukusaidia lolote.
 
Ana shaba wake huko...miaka ya nyuma ilivuma sana...
 
Kitenge ni mwakilishi wa chapa mbalimbali hapa nchini na anaenda nje kuzitangaza na ndio maana picha zake anakuwa amepiga akiwa ameshika baadhi ya chapa{brands} anazoziwakilisha, kila mtu ana njia zake za kupata mkate wa kila siku kwa hiyo kuuliza kuwa kitenge anaenda kufanya nini huko Marekani ni ujuha mwenzenu anatengeneza pesa na kitenge ni mjanja kila anapoenda ana network ya Watanzania na nina wasiwasi kuwa hata kufikia hafikii kwenye mahoteli bali kwa marafiki zake. WaTz tumekuwa wajinga na umbeya wa kutaka kujua huyu anafanya nini,sijui inatusaidia nini, mbona watu wengi wamefanya Marekani kama Kibaha.Kuna wakati nae Ali Choki alikuwa akienda uingereza utadhani anaenda Kisarawe,yote ni sehemu ya maisha.
 
Ni haki yake kusafiri anakotaka na kuruhusiwa kwa hati yake na visa.

Ila Marekani miji mingi kuna Covid-19 sana, hata wakazi wenyewe tumejifungia majumbani mwetu. Hapo Atlanta Georgia alipotoka palikuwa na wimbi la Covid-19 kubwa sana.

Hivyo ninaposikia mtu anakuja Marekani, kama si safari ya lazima kindakindaki, inaweza kumhatarisha bila ulazima.
 
Back
Top Bottom