Kitenge ana shughuli gani Marekani?

Kitenge ana shughuli gani Marekani?

Inaweza kuwa ili asikiuke ya green card
Kama ni green card anatakiwa aishi Marekani kama permanent resident halafu kama ana safari za nje mara moja moja anatoka Marekani kwenda huko nje.

Green card maana yake mtu anakuwa amehamia Marekani, Marekani ndiyo makazi yake ya kudumu.

Kwa hivyo,kama ana green card, swali linageuka. Akiwa Marekani haishangazi. Ni permanent resident. Ila, akikaa sana Tanzania ndiyo itabidi aulizwe inakuwaje anakaa sana Tanzania na yeye alishaamua kuhamia Marekani?

Isije kuwa anaishi Tanzania halafu anatembelea Marekani ili tu kuifanya green card iwe valid.

Unless ana green card ya kijasusi/ yenye State Department exceptions, wenyewe wanaweza kum mind wakijua ana green card, anaishi Tanzania, halafu anakuja Marekani kuifanya green card iwe valid tu.

Wakati wa ku renew green card huwa wanaangalia umekaa Marekani siku ngapi na nje ya Marekani siku ngapi. Na hicho ni kigezo cha kukubali au kukataa ku renew green card.

Wanaweza kusema "wewe uliomba green card uhamie Marekani, lakini tunaona umeishi Tanzania zaidi ya Marekani. Huihitaji hii green card, unahitaji regular non-immigrant visa tu"
 
tafuteni pesa wakuu ....wake zenu wafurahi na watoto wenu, ukianza kuchukia hustle za mwanaume mwenzio utapata shida sana

familia zenu wasije wakakosa hata majeneza ya kuwazikia siku mkifa.
Umemaliza kila kitu mkuu,,,hao uliowa qoute wote wakizeeka lazima wawe wachawi au wafuga kajini..Masikini wa fikra..
 
Hivi kumbe Trump kashafungua mipaka huko?

Let's meet at the top, cheers 🥂
Picha za zaman hizo. Marekani bado wanaadhibiwa na kitu CoVID. Besides wacheni jamaa ale maisha hata kama analelewa Kama Anko Uche Trump
 
Picha za zaman hizo. Marekani bado wanaadhibiwa na kitu CoVID. Besides wacheni jamaa ale maisha hata kama analelewa Kama Anko Uche Trump
Mkuu, jamaa ni kweli yupo US ,hata vipindi vya redio siku hizi pale wasafi anareport kutokea huko.
 
Bby uzi huu ulileta wewe??? Au Kuna mtu alichezea simu yako?
 
Nchi hata vipimo haipimi, halafu mtu anakwambia Covid is overrated!

Wakati wanaopima wanakwambia mpaka sasa huu ugonjwa hatujauelewa vizuri, kuna watu inaonekana wamepona, lakini bado wanajisikia wana matatizo fulani. Hawajajua long twrm wffects zikoje, ugonjwa umejulikana kwa muda mfupi tu mpaka sasa.

Halafu sisi ambao hatupimi tuna dismiss.
Tupime na kutangaza ili iweje ?

Huu ugonjwa ni mpya na kila taifa lina uhuru wa kuamua namna ya kushughulikia. Sisi Tanzania tumechagua njia tunayoona inafaa kwa watu wetu.
Kwani hao wanaopima kila siku wamepata dawa au hawafi?
Msiwe mazumbukuku wa kuiga kila anachofanya mzungu.
 
Ukweli ni kwamba, maisha ya mtu yana thamani ndogo sana Tanzania.

Ndiyo maana mtu anaweza kusema hiyo kauli ya kuweka mbele uchumi kuliko maisha ya mtu.
Ukweli ni kwamba huu ugonjwa unapewa sifa hadi zinapitiliza.
 
Ukweli ni kwamba huu ugonjwa unapewa sifa hadi zinapitiliza.
Ukweli ni kwamba hujatoa data, wala hujasema kwamba hii ni fact au opinion tu, wala hujasema kwamba unajua tofauti ya fact na opinion.

Kwa nini unaandika ugonjwa unapewa sifa hadi zinapitiliza?

Ugonjwa ukipewa sifa hadi zinapitiliza maana yake nini? Maana yake haudhuru na kuua?

Sifa kupitiliza wapi? na ugonjwa usiopewa sifa za kupitiliza ni upi? Kwa sababu gani?

Wewe unauelewa huu ugonjwa sana kupita wataalamu wanaosema athari zake za muda mrefu hazijajulikana?
 
Ukweli ni kwamba hujatoa data, wala hujasema kwamba hii ni fact au opinion tu, wala hujasema kwamba unajua tofauti ya fact na opinion.

Kwa nini unaandika ugonjwa unapewa sifa hadi zinapitiliza?

Ugonjwa ukipewa sifa hadi zinapitiliza maana yake nini? Maana yake haudhuru na kuua?

Sifa kupitiliza wapi? na ugonjwa usiopewa sifa za kupitiliza ni upi? Kwa sababu gani?

Wewe unauelewa huu ugonjwa sana kupita wataalamu wanaosema athari zake za muda mrefu hazijajulikana?
Yapo magonjwa hapa Bongo yanaua watu wengi kuliko huo utopolo wenu mnaouita covid 19 lakini shughuli za kimaisha zilikuwa zikiendelea kama kawaida.
 
Yapo magonjwa hapa Bongo yanaua watu wengi kuliko huo utopolo wenu mnaouita covid 19 lakini shughuli za kimaisha zilikuwa zikiendelea kama kawaida.
Hayo magonjwa ni mapya yasiyojulikana?

Unaelewa kwamba Covid-19 haijajulikana vizuri athari zake za muda mrefu?
 
Hayo magonjwa ni mapya yasiyojulikana?

Unaelewa kwamba Covid-19 haijajulikana vizuri athari zake za muda mrefu?
Hatuwezi tukijifungia ndani kusubiri tuone athari za covid za muda mrefu. Wakati huo huo familia zinahitaji misosi.

Ndio maana tunaendelea kuchukua tahadhali za kawaida za usafi kama kutumia hand sanitizer na kunawa mikono mara kwa mara.

Kwa jinsi Rais Magufuli alivyoongoza nchi dhidi ya mapambano ya Corona , kuna mataifa ya Magharibi yanatamani kumuiga ila demokrasia zao za kipumbavu zinawachelewesha kuchukua maamuzi.

Mfano rahisi ni Trump, anatamani sana Marekani iige mfano wa Tanzania ila wapuuzi wa Democrat wanamzuia asiiokoe Marekani kutoka kwenye huo ujinga wa Covid.
 
Hatuwezi tukijifungia ndani kusubiri tuone athari za covid za muda mrefu. Wakati huo huo familia zinahitaji misosi.

Ndio maana tunaendelea kuchukua tahadhali za kawaida za usafi kama kutumia hand sanitizer na kunawa mikono mara kwa mara.

Kwa jinsi Rais Magufuli alivyoongoza nchi dhidi ya mapambano ya Corona , kuna mataifa ya Magharibi yanatamani kumuiga ila demokrasia zao za kipumbavu zinawachelewesha kuchukua maamuzi.

Mfano rahisi ni Trump, anatamani sana Marekani iige mfano wa Tanzania ila wapuuzi wa Democrat wanamzuia asiiokoe Marekani kutoka kwenye huo ujinga wa Covid.
Kwani nani kakwambia ujifungie ndani?
 
Back
Top Bottom