Kitenge ana shughuli gani Marekani?

Kitenge ana shughuli gani Marekani?

Ni kama wanaoneshana umwamba na akina Edo Kumwembe na Shafii Dauda
Shaffih na Kumwembe hawa ni wadananda wa Samatta , wanasafiri sana kwa hisani ya Samatta. Kitenge sijui ni mdananda wa nani!?
 
kwann wabongo tuko hivi maonensho gani unayosema ww ya 77 au yap 88 au ???jenga hoja na tujadili hoja zenye mantiki...ok kaenda kusalimia familia eehh alafu tunajadili nn sasa???tusiwe hivo...kumbukeni tuko uchumi wa kati..jenga hoja za uchumi wa kati
Hizo hoja za uchumi wa kati kapeleke kwenye jukwaa la uchumi na biashara. Hii ni celebrities forum, so kuwajadili celebrities ndio sehemu yake.
 
Kitenge ni mtu wa kitengo. Utangazaji ni kuzuga tuu.

Kumbuka alivyo izima issue ya nape , kwa kuwazuia wale vijana wasifanye upumbavu.

Sijui kitengo hiki cha tiss cha kuzurura kinaitwaje, ila wapo wengi sana .

Kuna makundi mawili

Kundi la kwanza ni wale wanaotembea ndani.

Hawa kila kukicha ni kusafiri tuu, mikoa yote kata zote wanazijua.

Kundi la pili ndio hawa kina kitenge wao ni ndege tuu.

Hello JF,

Baraka za Mungu zitande juu yenu katika kutafuta mkate wa leo.

Sasa wakuu iko hivi, ni karibu mwezi sasa huyu mwanahabari na mdau wa michezo nguli yuko kwa Trump. Hata habari huwa anareport kutokea huko. Ninachojiuliza kwa sasa kuna umuhimu gani yeye kuwa huko. Najua kwa aina ya kazi yake kusafiri ni kawaida hususani kama kuna tukio la kimichezo kwenye nchi husika.

Lakini kwa sasa huko alipo hakuna tukio lolote la kimichezo hata habari anazoreport huwa ni kutokea hapa nchini, anazireport habari za hapa nchini akiwa USA. Sasa Je, kipi kinamfanya azurure huko USA. Je, ni kwa pesa za ofisi? Si matumizi ya pesa yasiyo ya lazima hayo?

 
Hizi mada hazifai kujadiliwa na wanaume marijali!

Zinadhalilisha uanamume na taaluma ya kiume

Kama hii ndio mijadala ya wanaume, wanawake wana haki ya kudai usawa!


GENTLEMEN STOP THIS
Acha vihoja. Vipi wewe unachangia uzi ambao hauna maana, ilhali kuna majukwaa kibao yenye uzi zenye maana!?
 
Kitenge ni mtu wa kitengo. Utangazaji ni kuzuga tuu.

Kumbuka alivyo izima issue ya nape , kwa kuwazuia wale vijana wasifanye upumbavu.

Sijui kitengo hiki cha tiss cha kuzurura kinaitwaje, ila wapo wengi sana .

Kuna makundi mawili

Kundi la kwanza ni wale wanaotembea ndani.

Hawa kila kukicha ni kusafiri tuu, mikoa yote kata zote wanazijua.

Kundi la pili ndio hawa kina kitenge wao ni ndege tuu.
Wengi wamekuja kuniattack lakini wewe umejibu vyema sana.
Maana hata mimi nilianza kuwa na mashaka, kwanza gharama, pili hali ya dunia ya sasa na yeye umuhimu wa kuwa huko wakati huu.
 
Hii tabia ya ku post sijui upo wapi naichukia
ni mtizamo wako tu. binafsi sioni tatizo especially kwa mtu ambaye anapenda kusafiri na masuala ya adventure.

ndio maana google kwa kulitambua hilo, wakaweka option ya kuonyesha jina la location ulipo.
 
Huyu jamaa limbukeni sana
Hello JF,

Baraka za Mungu zitande juu yenu katika kutafuta mkate wa leo.

Sasa wakuu iko hivi, ni karibu mwezi sasa huyu mwanahabari na mdau wa michezo nguli yuko kwa Trump. Hata habari huwa anareport kutokea huko. Ninachojiuliza kwa sasa kuna umuhimu gani yeye kuwa huko. Najua kwa aina ya kazi yake kusafiri ni kawaida hususani kama kuna tukio la kimichezo kwenye nchi husika.

Lakini kwa sasa huko alipo hakuna tukio lolote la kimichezo hata habari anazoreport huwa ni kutokea hapa nchini, anazireport habari za hapa nchini akiwa USA. Sasa Je, kipi kinamfanya azurure huko USA. Je, ni kwa pesa za ofisi? Si matumizi ya pesa yasiyo ya lazima hayo?

 
Kuna wajinga wamekuja kwenye huu uzi kuponda hoja iliyopo. Eti wivu, tafuta kazi na upuuzi kwingine kama huo!
Mleta mada kauliza swali fikirishi, kama huna jibu funga domo. Kama hutaki kujadili watu in positive way, jadili ngamia na kondoo kwani nani kakuzuia.

Huwezi kuishi bila kusema watu unless uwe kilaza tu mtaani. Lazima ujue fulani katumia njia gani kufanikiwa, nani kafanya hiki, huyu kakosea wapi, huyu anafanya nini na kina manufaa gani. Kwa njia hiyo uweze kumuiga mazuri yake, kumkwepa mabaya, kumkosoa au kujifunza.
Vilaza wanaita "wivu". Sijui wanajua maana ya hilo neno.
 
Hello JF,

Baraka za Mungu zitande juu yenu katika kutafuta mkate wa leo.

Sasa wakuu iko hivi, ni karibu mwezi sasa huyu mwanahabari na mdau wa michezo nguli yuko kwa Trump. Hata habari huwa anareport kutokea huko. Ninachojiuliza kwa sasa kuna umuhimu gani yeye kuwa huko. Najua kwa aina ya kazi yake kusafiri ni kawaida hususani kama kuna tukio la kimichezo kwenye nchi husika.

Lakini kwa sasa huko alipo hakuna tukio lolote la kimichezo hata habari anazoreport huwa ni kutokea hapa nchini, anazireport habari za hapa nchini akiwa USA. Sasa Je, kipi kinamfanya azurure huko USA. Je, ni kwa pesa za ofisi? Si matumizi ya pesa yasiyo ya lazima hayo?

Dalili ya kukosa Cha kufanya

Unahangaika kujua mtu anafanya nini?

Umemaliza ya kwako?
 
Hizo hoja za uchumi wa kati kapeleke kwenye jukwaa la uchumi na biashara. Hii ni celebrities forum, so kuwajadili celebrities ndio sehemu yake.
sawa lakini tuangalie ya kujadili pia kaka...kweli unaanza kunijadili kwann napanda ndege au nmeenda kufanya nn kweli ni hoj???kwann isingekuja hoja mezani kwamba namna maulid kitenge anavopambana kujibrand hauoni ingekuwa hoja nzuri mbele ya umma au kwa kuwa ni maulid basi ndo hata akipenga makamasi tayari kwetu ni topic???
 
Back
Top Bottom