Wewe maisha mafupi haya. Kama nafsi yake inasuuzika wacha afanye. Ni njia mojawapo ya kuepusha nafsi na misongo ya mawazo isiyohitajika.[emoji38] [emoji38] [emoji38] Ndugu yangu yani naonaga hizo ni tabia za wakina dada zetu, sisi wanaume hayo mambo ya nini sasa, yani huwa inakera watu wenye hiyo tabia huwa kwenye whatsap ninawa mute
Wewe maisha mafupi haya. Kama nafsi yake inasuuzika wacha afanye. Ni njia mojawapo ya kuepusha nafsi na misongo ya mawazo isiyohitajika.Hii tabia ya ku post sijui upo wapi naichukia
Sidhani kama ni picha ya karibuni,kwani anga la huko limeshafunguliwa?Itakua mapunziko tu kama Chattle
Kwani walifunga??Sidhani kama ni picha ya karibuni,kwani anga la huko limeshafunguliwa?
Hilo anga limefungwa kitamboKwani walifunga??
naona MEMBE amevamia mpaka huku!Membe na Dauda ukiona wamesafiri basi ni kwenye matukio ya kimichezo tu huwa naona.
Ndoivyo huwezi kuipenda poleHii tabia ya ku post sijui upo wapi naichukia
Sema aliomba ukamkandamizeKitenge ni celebrity probably amepata host ambae
ame moffer Staying+ Return ticket hio ni kawaida ukiwa na marafiki Abroad afu kwa nature ya kazi yake si lazima awepo ofisini ndio afanye kazi ata mimi nilipata offer kwa rafiki yangu mfinland ya makorokoro yote ila sikwenda kwa sababu zangu binafsi
We ni mshambaaa sana kama huna kazi tulia wenye kazi zao waache wafanye...dunia ni kijiji kwaiyo usiwe na mawazo ya kindeziii....we mkudaaHello JF,
Baraka za Mungu zitande juu yenu katika kutafuta mkate wa leo.
Sasa wakuu iko hivi, ni karibu mwezi sasa huyu mwanahabari na mdau wa michezo nguli yuko kwa Trump. Hata habari huwa anareport kutokea huko. Ninachojiuliza kwa sasa kuna umuhimu gani yeye kuwa huko. Najua kwa aina ya kazi yake kusafiri ni kawaida hususani kama kuna tukio la kimichezo kwenye nchi husika.
Lakini kwa sasa huko alipo hakuna tukio lolote la kimichezo hata habari anazoreport huwa ni kutokea hapa nchini, anazireport habari za hapa nchini akiwa USA. Sasa Je, kipi kinamfanya azurure huko USA. Je, ni kwa pesa za ofisi? Si matumizi ya pesa yasiyo ya lazima hayo?
Mkuu tafuta kwanza maendeleo ya ndugu zako huko Sigimbi, mambo ya Kitenge wala hayawezi kukusaidia lolote.Hello JF,
Baraka za Mungu zitande juu yenu katika kutafuta mkate wa leo.
Sasa wakuu iko hivi, ni karibu mwezi sasa huyu mwanahabari na mdau wa michezo nguli yuko kwa Trump. Hata habari huwa anareport kutokea huko. Ninachojiuliza kwa sasa kuna umuhimu gani yeye kuwa huko. Najua kwa aina ya kazi yake kusafiri ni kawaida hususani kama kuna tukio la kimichezo kwenye nchi husika.
Lakini kwa sasa huko alipo hakuna tukio lolote la kimichezo hata habari anazoreport huwa ni kutokea hapa nchini, anazireport habari za hapa nchini akiwa USA. Sasa Je, kipi kinamfanya azurure huko USA. Je, ni kwa pesa za ofisi? Si matumizi ya pesa yasiyo ya lazima hayo?
Tangu nianze fatilia nadhNi hii ni safati yake yanne kama sio ya 3 huko marekani akitembelea states mbalimbali.Mbona ni mara nyingi tu huwa anasafiri mara zingine na mtoto wake
Ni jasusi wa CIA kama MembeNadhani Kitenge in Mtangazaji Wa VOA pia..