ππ Au sio.Wakati kitenge akizurura uko majuu
troublemaker yeye anazurura tandale ,anarudi buza,Mara yupo kariakoo kama sio manzese
ππ Au sio.Wakati kitenge akizurura uko majuu
troublemaker yeye anazurura tandale ,anarudi buza,Mara yupo kariakoo kama sio manzese
Akitoka hapo anarudi kwake mji mpya G/mboto kulaza mbavu..Wakati kitenge akizurura uko majuu
troublemaker yeye anazurura tandale ,anarudi buza,Mara yupo kariakoo kama sio manzese
Nilisikia jamaa ameoa huko U.S.A,pia S.A na Mke mwingine yupo UK,mmoja ndiyo yupo naye Dar.So hao wa nje ndiyo wanamwezesha awapelekee Dushe kwa nyakati tofauti
[emoji28][emoji23][emoji28][emoji23][emoji28][emoji23][emoji28][emoji23]Amka uende kazini boss wako mhindi yule asije akakumwagia pilipili usoni
Nimekua nikimfutilia Bwana Maulid Kitenge kwa kipindi sasa amekua na safari za kwenda Marekani,
Hv kuna anayefahamu huyu jamaa anafuataga nini huko mara kwa mara maana kwa namna anayonekana kwenye social medias ni kama hana jambo la msingi la kihabari linalompeleka kule.
Just being curious
Chidi unooUmesikia Gwajima analo jina lingine. Anaitwa Rashidi au Chidi.
Naunga Mkono HojaNjoo huku tumjadili Bishop Rashid kwanza maana simwelewi kabisa kesho anaweza itwa Aminaπππ
[emoji16][emoji16][emoji16] pilipili tenaAmka uende kazini boss wako mhindi yule asije akakumwagia pilipili usoni
Rashid Ndiyo Habari Kubwa Sana[emoji16][emoji16][emoji16] pilipili tena