sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
- Thread starter
-
- #61
Mimi ni genius. Waliowai kukutana na mimi wanafahamu uwezo wangu.Uwezo wako wakufikiri na kupambanua mambo ni mdogo sana,hua unaanzisha thd ila huna uwezo wa kuzisimamia,unaazisha kama chawa tu,
Kwani kuna magazeti gani au Radio gani ukisoma/ukisikiliza huongeza hela kwenye account direct?
Kusoma magazeti, kusikiliza Radio au kuangalia tv inakua ni kuongeza maarifa au burudani,hayo maarifa ndio unaweza kuyatumia na kutengeneza hela,kwani wanaoangalia Mpira au movies au hata kusikiliza music hua wanaingiza hela direct kwenye account zao?
Yani Wasafi iwe bora kuliko BBC?
Na miaka mitatu sijasikiliza radio sasa kuna wiki imepita niliamkia mahali ndio nilivyoanza kuzisikia hizo kelele za hao jamaa asubuhi sikuzingatia sana nilizani ni watangazaji tu wa radio ndogo mikoani wakati wanaendelea na ulopokaji wao bila mipangilio kila mtu anaongea kwa wakati mmoja mda kidogo mfupi ikaja jingo ndio nikajua nasikiliza wasafiBinafsi sio muumini sana wa makelele, acha niendelee kuskiza Power Breakfast tu. Sijaona morning program yyte kuizidi, mwaka wa 12 sasa nawaskiliza.
Jibu kwa hoja,jibu hiyo comment yangu kwanza,Mimi ni genius. Waliowai kukutana na mimi wanafahamu uwezo wangu.
Sina huo muda mkuu. Wewe ni mmoja ya wajinga mnaonitukana sana hapa JF siwezi kufanya argument na weweJibu kwa hoja,jibu hiyo comment yangu kwanza,
u genius hua haujifichi,ungeonekana tu hapa.
Nilijua usingeweza kujibu,Sina huo muda mkuu.
Sasa si kuna audience kubwa ya vilaza.Zingekuwa ni kelele wasingekuwa wanaongoza kusikilizwa. Wanafanya soko linachotaka sio anachotaka asiyesikiliza redio.
Sasa ningewajuaje bila kuwasikiliza we kumbe ndo kilaza unaowahusudu hao viumbe eeh??Kama uwasikilizi umejuaje kuwa wana kelele?
Una ugonjwa wa kuchukia watu haswa waliopiga hatua. Unateseka sana bidada.
sinza pazuri soma hiyo...Tanzania kuna kasumba ya kutengezea vibe aidha msanii, mtangazaji au mwanasiasa lakini ukitazama uhalisia huyo muhusika anaetengenezewa shavu hakuna la maana kiutendaji anafanya.
Its like kizazi cha sasa hakina uwezo wa kubaini talents za asili kinabakia kuongelea hizi talents za uchochoroni. Sasa ukiwatazama hawa jamaa me naona wanapiga kelele tu contents zero kabisa.
Sasa kuna ubaya gani kama inaleta pesa. Wewe mwenye akili maisha yako ni magumu tu huna mbele wala nyuma.Sasa si kuna audience kubwa ya vilaza.
Punguza chuki.Sasa ningewajuaje bila kuwasikiliza we kumbe ndo kilaza unaowahusudu hao viumbe eeh??
Kwani wana siku maalumu ya kupiga kelele, yani hata ukitune wasafi asubuhi kwa bahati mbaya unasikia kelele zao hao viumbe.
Sichukii waliopiga hatua hata kidogo, ila wanaokosea lazima wakosolewe.
NB. Kua na nidhamu kijana wa dabliyusibii mimi sio bidada. Hilo komwe kwenye avatar yangu linaweza kua la bidada kweli??
Wapiga kelele hao hawana cha maana wanaongeaPunguza chuki.
Naona wanapewa promo za mchango. Hamna kitu hapo Hawana ubunifu au talent yoyote kwenye kazi yao.Waambie waendelee kupiga Makelele, ila hamna Kitu kabisa.
Anaitwa Charles William Ndo mtangazaji pekee mwenye akíli WASAFI Labda na EDOKwa makelele wanayopiga huwa mara moja moja nawasikiliza kwenye mwendo kasi tu, hakuna ubunifu ni kupayuka tu na mizaha isiyokua na tija, kuna jamaa mmoja yuko wasafi yule aliyewahi kufanya mahojiano na pole pole jamaa yuko smart sana kichwani na anaufahamu wa kutosha sema Genge analokaa nalo studio huwa linafifisha kipaji chake.
Huyo jamaa atafika mbali namuona kwenye international media.Anaitwa Charles William Ndo mtangazaji pekee mwenye akíli WASAFI Labda na EDO
redio zote kubwa hapa bongo ukiondoa redio one huo ndio aina ya utangazaji wao wa magazeti, huwezi ukakuta mgeni akihojiwa kwa makelele kama mnavyodaiKwa makelele wanayopiga huwa mara moja moja nawasikiliza kwenye mwendo kasi tu, hakuna ubunifu ni kupayuka tu na mizaha isiyokua na tija, kuna jamaa mmoja yuko wasafi yule aliyewahi kufanya mahojiano na pole pole jamaa yuko smart sana kichwani na anaufahamu wa kutosha sema Genge analokaa nalo studio huwa linafifisha kipaji chake.