Uwezo wako wakufikiri na kupambanua mambo ni mdogo sana,hua unaanzisha thd ila huna uwezo wa kuzisimamia,unaazisha kama chawa tu,
Kwani kuna magazeti gani au Radio gani ukisoma/ukisikiliza huongeza hela kwenye account direct?
Kusoma magazeti, kusikiliza Radio au kuangalia tv inakua ni kuongeza maarifa au burudani,hayo maarifa ndio unaweza kuyatumia na kutengeneza hela,kwani wanaoangalia Mpira au movies au hata kusikiliza music hua wanaingiza hela direct kwenye account zao?
Yani Wasafi iwe bora kuliko BBC?