Kitengo cha Habari TANESCO kina wafanyakazi zaidi ya 200 nchini. Waondolewe waende wapi Waziri January?

Kitengo cha Habari TANESCO kina wafanyakazi zaidi ya 200 nchini. Waondolewe waende wapi Waziri January?

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Maagizo ya waziri wa Nishati Mh. January ni kwamba kutokana na Wananchi kutopewa habari juu ya mikakati pamoja na kukatika umeme basi kitengo husika kimefeli hivyo kitengo hicho kibomolewe na kilete watu wengine.

Kazi za watu wa habari ni kuchukua habari kutoka kwa viongozi na watu wa fundi na kwenda kuhabarisha Wananchi. Hawatoi habari Kama wao.

Kitengo hiki kina watu zaidi ya 200 TANESCO Nzima nchini, na watu Hawa wanataaluma ya mambo haya tu, hata tanesco hawana spear ya watu Hawa, Ili watu Hawa waondolewe inabidi zitangazwe kazi, au watu wote Hawa walipwe uhamisho kwenda taasisi nyingine na waletwe watu kutoka kwingine ikiwemo halmashauri.

Toka matatizo ya umeme yameanza hatujaisikia Bodi mpya ya Tanesco ikitoa kauli yeyote angalau hata kuweka matumaini, wamepiga kimya.

Inavyoonekana huu mgao wa umeme wa chinichini utafukuzisha watu wa Tanesco sana.

Pia soma > Waziri Makamba avunja Kitengo cha Habari na Mawasiliano TANESCO kwa tuhuma za kushindwa kulisemea Shirika (Januari 25, 2022)
 
Tanesco ni kubwa na ina kazi nyingi, wataenda kufagia, kuwa masecretary nk...na wengine wapigwe chini maana watu 200 kitengo cha mawasiliano ni wengi sana...ni bora kutumia technolojia kuliko kulea watu wajinga.

Wanaleta mzaha huku uraiani kuna mamilioni ya wabongo hawana ajira..
 
200 wengi sana, wastani wa maafisa habari 5 Kila mkoa
 
I think uko miongoni mwa 200
Sasa nini kimezuia kuchukua habari kwa viongozi au mafundi?

Lakini mmekuwa mzigo kwa TANESCO mnataka mkahamishiwe wapi mkawaelemee watu huko?

Pigweni chini tu msubiri masoko ya machinga yakamilike mkabanane huko
Kuna maelfu wenye uwezo kuliko nyie na hawana ajira pisheni nafasi hiyo

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Maagizo ya waziri wa Nishati Mh. January ni kwamba kutokana na Wananchi kutopewa habari juu ya mikakati pamoja na kukatika umeme basi kitengo husika kimefeli hivyo kitengo hicho kibomolewe na kilete watu wengine.

Kazi za watu wa habari ni kuchukua habari kutoka kwa viongozi na watu wa fundi na kwenda kuhabarisha Wananchi. Hawatoi habari Kama wao.

Kitengo hiki kina watu zaidi ya 200 TANESCO Nzima nchini, na watu Hawa wanataaluma ya mambo haya tu, hata tanesco hawana spear ya watu Hawa, Ili watu Hawa waondolewe inabidi zitangazwe kazi, au watu wote Hawa walipwe uhamisho kwenda taasisi nyingine na waletwe watu kutoka kwingine ikiwemo halmashauri.

Toka matatizo ya umeme yameanza hatujaisikia Bodi mpya ya Tanesco ikitoa kauli yeyote angalau hata kuweka matumaini, wamepiga kimya.

Inavyoonekana huu mgao wa umeme wa chinichini utafukuzisha watu wa Tanesco sana.

Pia soma > Waziri Makamba avunja Kitengo cha Habari na Mawasiliano TANESCO kwa tuhuma za kushindwa kulisemea Shirika (Januari 25, 2022)
Hapa waziri Kaamua kujilipua tu lakini watabaki hapo hapo.

Ni kwamba; Vita ya January na wafanya kazi wa TANESCO imeshika kasi.

Wacha tuone.
 
Maagizo ya waziri wa Nishati Mh. January ni kwamba kutokana na Wananchi kutopewa habari juu ya mikakati pamoja na kukatika umeme basi kitengo husika kimefeli hivyo kitengo hicho kibomolewe na kilete watu wengine.

Kazi za watu wa habari ni kuchukua habari kutoka kwa viongozi na watu wa fundi na kwenda kuhabarisha Wananchi. Hawatoi habari Kama wao.

Kitengo hiki kina watu zaidi ya 200 TANESCO Nzima nchini, na watu Hawa wanataaluma ya mambo haya tu, hata tanesco hawana spear ya watu Hawa, Ili watu Hawa waondolewe inabidi zitangazwe kazi, au watu wote Hawa walipwe uhamisho kwenda taasisi nyingine na waletwe watu kutoka kwingine ikiwemo halmashauri.

Toka matatizo ya umeme yameanza hatujaisikia Bodi mpya ya Tanesco ikitoa kauli yeyote angalau hata kuweka matumaini, wamepiga kimya.

Inavyoonekana huu mgao wa umeme wa chinichini utafukuzisha watu wa Tanesco sana.

Pia soma > Waziri Makamba avunja Kitengo cha Habari na Mawasiliano TANESCO kwa tuhuma za kushindwa kulisemea Shirika (Januari 25, 2022)
hawatimuliwa kazini
 
Kama taarifa hawapewi za chanjo Cha kukatika umeme alitaka waitetee vipi tanesco?
 
Maagizo ya waziri wa Nishati Mh. January ni kwamba kutokana na Wananchi kutopewa habari juu ya mikakati pamoja na kukatika umeme basi kitengo husika kimefeli hivyo kitengo hicho kibomolewe na kilete watu wengine.

Kazi za watu wa habari ni kuchukua habari kutoka kwa viongozi na watu wa fundi na kwenda kuhabarisha Wananchi. Hawatoi habari Kama wao.

Kitengo hiki kina watu zaidi ya 200 TANESCO Nzima nchini, na watu Hawa wanataaluma ya mambo haya tu, hata tanesco hawana spear ya watu Hawa, Ili watu Hawa waondolewe inabidi zitangazwe kazi, au watu wote Hawa walipwe uhamisho kwenda taasisi nyingine na waletwe watu kutoka kwingine ikiwemo halmashauri.

Toka matatizo ya umeme yameanza hatujaisikia Bodi mpya ya Tanesco ikitoa kauli yeyote angalau hata kuweka matumaini, wamepiga kimya.

Inavyoonekana huu mgao wa umeme wa chinichini utafukuzisha watu wa Tanesco sana.

Pia soma > Waziri Makamba avunja Kitengo cha Habari na Mawasiliano TANESCO kwa tuhuma za kushindwa kulisemea Shirika (Januari 25, 2022)
Kitengo cha habari TANESCO kina wafanyakazi zaidi ya 200 nchini. Waondolewe waende wapi Waziri?

Wakachunge mbuzi makwao?
 
I think uko miongoni mwa 200
Sasa nini kimezuia kuchukua habari kwa viongozi au mafundi?

Lakini mmekuwa mzigo kwa TANESCO mnataka mkahamishiwe wapi mkawaelemee watu huko?

Pigweni chini tu msubiri masoko ya machinga yakamilike mkabanane huko
Kuna maelfu wenye uwezo kuliko nyie na hawana ajira pisheni nafasi hiyo

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hawatafukuzwa isipokuwa watahamishiwa kwenye taasisi zingine
 
Back
Top Bottom