Kiteto: Wanawake wawili wakamatwa na Nyara za serikali

Kiteto: Wanawake wawili wakamatwa na Nyara za serikali

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Wanawake wawili wa Kijiji cha Kimana wilayani Kiteto Mkoani Manyara, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kiteto kwa kukutwa na nyara za Serikali, ambazo ni Swala na mtoto wa mnyama aina ya Digidigi ambaye yuko hai.

Wanawake hao ni Veronica Paulo (24) na Witnes Paulo (20) ambapo Machi 20.2023 wakiwa nyumbani kwao wamedaiwa kukutwa nya nyara hizo za Serikali wakiwa eneo la Njutaa kata ya Partimbo.

Frz8OzVXwAAm0mp
 
Kamateni hawa wakina Kikwete, mke wake, Riz one, Makamba, January Makamba haya ndio majizi na mengine ya ccm sio mnaonea watu masikini alafu nyinyi mnapiga mabilion alafu kutwa nzima mnaonea watu fukara.
 
kuna watu wanajitafutia dhambi za bure tu, wangemalizana nao tu na kuwaachia kitoweo chao tu, sasa huyo mama akipigwa 20yrs au 30yrs siunakwenda kuua familia yake njaa tu.
 
Hawa watu wa maliasili wapumbavu sana.Hata wakikumata na unyoya watukapa kashikashi kama umeua tembo.Waelimisheni watu kenge nyie.

Siwalaumu watu wa malia asili. Elimu inatolewa sana , haswa kwa vijiji vinavyozunguka hifadhi, lakin binadamu ni ngumu kumdhibiti. Atavunja sheria tu
 
Kamateni hawa wakina Kikwete, mke wake, Riz one, Makamba, January Makamba haya ndio majizi na mengine ya ccm sio mnaonea watu masikini alafu nyinyi mnapiga mabilion alafu kutwa nzima mnaonea watu fukara.

Unaweza prove makosa yao? Una evidence? Kwann usifungue kesi?
 
Siwalaumu watu wa malia asili. Elimu inatolewa sana , haswa kwa vijiji vinavyozunguka hifadhi, lakin binadamu ni ngumu kumdhibiti. Atavunja sheria tu
Wangapi wanajua ukikutwa kwenye hifadhi hata na kiwembe tu imekula kwako?.Elimisheni watu ,mnashupaza tu shingo na kuonea vidagaa.
 
Back
Top Bottom