miss confidence
JF-Expert Member
- Jul 9, 2016
- 393
- 273
Hiyo inaenda inaisha ,jifungie ndani ujifunze kuongea itaisha tu ,mimi nilikuwa na tatizo hilo ila nilijifunza kuongea ndani ya wiki tu nikawa naongea vizuri mpaka leoJamani Mimi nina tatizo katika matamshi yangu.Nimeathiriwa na kithembe...hivyo nashindwa kutamka " s" na "z" badala yake natamka "th", na " dha" ...wakuu je hali hii ikifika wakati Fulani nitaweza kutamka maneno haya kwa ufasaha??? Au inakuaje kwa upande wa hili tatizo..... Nikiongea mbele za watu Napata shida sana maana huwa wananichekka sana.
Daaaaah aiseeee acha tuuu ndugu yangu.... Yani kinaniboa Mimi maana huwa ninachekwa sana na kudhihakiwa nawatu wengi nikiwa naongea hasa kwenye mikusanyiko ya watuDaah!
Basi mi huwa napenda wadada wenye kithemb
Mkuu huwa kina isha hiko!!?Hiyo inaenda inaisha ,jifungie ndani ujifunze kuongea itaisha tu ,mimi nilikuwa na tatizo hilo ila nilijifunza kuongea ndani ya wiki tu nikawa naongea vizuri mpaka leo
Ila wenye kithe the wanaongea kiingereza kizuri sanaDaah!
Basi mi huwa napenda wadada wenye kithembe.
Akiwa nacho mwanaume ndi kibaya, ila kwa mwanamke kinavutia.
si jambo baya na wala usipate shida nacho kwani ni kitu cha kuzaliwa nacho
*sijui kama kithembe nacho kinahesabika ni ulemavu
NdiyoMkuu huwa kina isha hiko!!?
Mkuu nimeisha jaribu tangu nikiwa na umri mdogo lakini sipati mabadiliko yoyote aiseeee.....Hiyo inaenda inaisha ,jifungie ndani ujifunze kuongea itaisha tu ,mimi nilikuwa na tatizo hilo ila nilijifunza kuongea ndani ya wiki tu nikawa naongea vizuri mpaka leo
Cheza na ulimi tu utawezaMkuu nimeisha jaribu tangu nikiwa na umri mdogo lakini sipati mabadiliko yoyote aiseeee.....
Pole may b huwa wana kutani tu,Daaaaah aiseeee acha tuuu ndugu yangu.... Yani kinaniboa Mimi maana huwa ninachekwa sana na kudhihakiwa nawatu wengi nikiwa naongea hasa kwenye mikusanyiko ya watu
Mimi mwenyewe ningekuwa nakuchekaDaaaaah aiseeee acha tuuu ndugu yangu.... Yani kinaniboa Mimi maana huwa ninachekwa sana na kudhihakiwa nawatu wengi nikiwa naongea hasa kwenye mikusanyiko ya watu
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Ila wenye kithe the wanaongea kiingereza kizuri sana
Hahaaa ...shukrani sana mkuu...hivi hii haiwezi kunikosesha hata kazi...mfano kama nikitaka kua mtangazaji siku moja...????Pole may b huwa wana kutani tu,
Kama kipo toka ukiwa mdogo si kosa lako endelea kuwa vile ulivo
Ila mi huwa nawakubali sana wenye wana sema thatha aaahahahaha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nilidhani umeandika kinembe😀.
HahahaaDah,natamani thana demu mwenye kithembe ,akideka hadi raha ,ur gud miss hata usijichukie
Shukrani sana mkuu.....daahDaah!
Basi mi huwa napenda wadada wenye kithembe.
Akiwa nacho mwanaume ndi kibaya, ila kwa mwanamke kinavutia.
si jambo baya na wala usipate shida nacho kwani ni kitu cha kuzaliwa nacho
*sijui kama kithembe nacho kinahesabika ni ulemavu
Duuuuuh shukrani sanaCheza na ulimi tu utaweza
Shukrani sana atheeeeeee..Dah,natamani thana demu mwenye kithembe ,akideka hadi raha ,ur gud miss hata usijichukie