KITHEMBE KINANIFANYA NICHEKWE.

KITHEMBE KINANIFANYA NICHEKWE.

Ulimwengu huu una mambo mengi sana ya kufurahisha....lakini kamwe hutaiona furaha ndani ya ulimwengu huu kama furaha yako inategemea mitazamo ya watu wengjne kukuhusu wewe....
Ili kuwa huru na kuyafurahia maisha ni lazima uache kuyatilia mkazo wa fikra mambo ambayo huwezi kushughulika nayo.....

Badala yake kadhania na kushughulika na mambo yanayokupa furaha na raha maishani mwako....

Si vyema kuacha maoni ya wengine yaongoze maisha yako....bali kile kilichopo ndani yako....

Kila mtu hapa duniani ana mapungufu yake na mahangaiko yake...lakini watu wana furaha maishani mwao si kwa kuwa wameyashinda mapungufu yao bali...wamejua namna ya kuishi na mapungufu hayo......

Tujifunze kuyapuuzia mambo madogo madogo ili tupate muda wa kuyafurahia mambo makubwa....

Si kila mtu anapenda vile jinsi maumbile yetu yalivyo lakini hakuna mtu ambaye aliamua au kupanga na Mungu kuwa aumbwe vipi....sisi sote ni kazi za mikono yake mitukufu.......

Hilo sio tatizo bali fikra zako juu ya hilo ndio zitakazofanya kuwa tatizo....kwani tayari umesharuhusu mitazamo ya watu itawale maisha yako.....

LIVE YOUR LIFE.....YOUR TIME IS LIMITED.....
 
Ulimwengu huu una mambo mengi sana ya kufurahisha....lakini kamwe hutaiona furaha ndani ya ulimwengu huu kama furaha yako inategemea mitazamo ya watu wengjne kukuhusu wewe....
Ili kuwa huru na kuyafurahia maisha ni lazima uache kuyatilia mkazo wa fikra mambo ambayo huwezi kushughulika nayo.....

Badala yake kadhania na kushughulika na mambo yanayokupa furaha na raha maishani mwako....

Si vyema kuacha maoni ya wengine yaongoze maisha yako....bali kile kilichopo ndani yako....

Kila mtu hapa duniani ana mapungufu yake na mahangaiko yake...lakini watu wana furaha maishani mwao si kwa kuwa wameyashinda mapungufu yao bali...wamejua namna ya kuishi na mapungufu hayo......

Tujifunze kuyapuuzia mambo madogo madogo ili tupate muda wa kuyafurahia mambo makubwa....

Si kila mtu anapenda vile jinsi maumbile yetu yalivyo lakini hakuna mtu ambaye aliamua au kupanga na Mungu kuwa aumbwe vipi....sisi sote ni kazi za mikono yake mitukufu.......

Hilo sio tatizo bali fikra zako juu ya hilo ndio zitakazofanya kuwa tatizo....kwani tayari umesharuhusu mitazamo ya watu itawale maisha yako.....

LIVE YOUR LIFE.....YOUR TIME IS LIMITED.....
Shukrani sanaaaaaaaaaaa mkuu kwa kwweli kwa maelezo yako nimejifunza na mengine mazuri zaidi....be blessed sana...
 
Back
Top Bottom