Kitila Mkumbo: Tunataka kuona tunasafirisha betri za magari ya umeme na sio madini yake. Anadi umasikini utakuwa 0 mwaka 2050 nchini

Matendo yanaongea zaidi kuliko maneno.
Hatuoni hatua zozote za ujenzi wa hicho kiwanda zaidi ya mikataba tu ya makampuni ya uchimbaji ambayo huwezi kuyalimit once unapokuwa tayari umewapa leseni ya uchimbaji.

Huku mmeshachukua mikopo/ hela za watu .
 
Ikiwa toka enzi na enzi walishauri hivyo na wasifanye , Leo itakuwaje tuwaamini.
Pili hizi ni Sera za Awamu ya Tano au Awamu ya sita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…