Kitimoto is overrated haina utofauti wala utamu kuliko nyama zingine..

Kitimoto is overrated haina utofauti wala utamu kuliko nyama zingine..

....kulkua na supu...????
Supu ya nguruwe? Huyo mpshi mlmtoa wapi?
 
We kitimoto huijui, mmeuziwa mifuta mingi la hasha hujui kuipika. Ile inapikwa na mafuta yake babu kisha inarostiwa kiufundi unaweza shangaa watu kadhaa mkafuta kilo ya ugali
Yaan anakosa uhondo sana
 
SmartSelect_20180419-114353.jpg

Huyu dogo ni kigeugeu...
 
Yaani wewe unaogopaga Bei tu maana ulipoona ya bei nafuu ndio ukala hiyo iliyoshindwa kuzaa Mqngi akaamua kuuza ndio useme Kitimoto si Tamu wacha kabisa
 
Kwa miaka kadhaa toka nikiwa mtoto mdogo hadi leo hii nimekua sili Kitimoto Japo mimi ni Mkristo mkatoriki wa kuzaliwa. Hii ilitokana na sababu zangu binafsi na sheria kwenye biblia ya inayosema...
Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.

Mambo ya Walawi 11:7


Hivyo nikawa sigusi kitimoto hata nyumbani hakijawahi kupikwa (Mama alikua Muislim kabla, hatak ata kuiona japo mkatoriki)
Basi kwenye Pasaka hii ya Juzi juzi apa jirani yetu mchaga Noah yake aliipiga Breakdown akawa anauuza Kilo kwa buku Saba za lumumba tu. Tukachukua na sisi washkaji kilo 2 hivi. Nami nikasema ngoja nionje huyu mdudu ambao JF wanamsifia eti ni mtamu hasa ukishushia na Nyagi. Basi bwana ikaandaliwa vizuri sana hadi inaiitata nami nikasogea, nilijua nitakuta radha special kwenye pork (kulikua na supu, miskaki, iliyolostiwa, na ya pilau) asee mboga ya hovyo sana sijawah ona nilikula kidogo tu ikanishinda maana nilitema mate sana hafu nasikia imekaa rohoni. Ilibidi nile limao nzima ndo nikapata ahueni...

Nyama ya kuku itabaki kua nyama bora wakati wote kwangu hadi naacha hii dunia..

Da'Vinci: Young, Wild, Broke and Brainy.
Mkatoriki??? We ni ustazi kafundishe madrasa
 
Kwahiyo uliyadharau hayo maandiko ya kwenye biblia yaliyokukataza kumla huyu mdudu?!

Ina maana ungependezewa na ladha ya nyama yake ungeendelea kumla na kuyapa kisogo hayo maandiko ya biblia yaliyokukataza kumla?
 
mud
Kwa miaka kadhaa toka nikiwa mtoto mdogo hadi leo hii nimekua sili Kitimoto Japo mimi ni Mkristo mkatoriki wa kuzaliwa. Hii ilitokana na sababu zangu binafsi na sheria kwenye biblia ya inayosema...
Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.

Mambo ya Walawi 11:7

Hivyo nikawa sigusi kitimoto hata nyumbani hakijawahi kupikwa (Mama alikua Muislim kabla, hatak ata kuiona japo mkatoriki)
Basi kwenye Pasaka hii ya Juzi juzi apa jirani yetu mchaga Noah yake aliipiga Breakdown akawa anauuza Kilo kwa buku Saba za lumumba tu. Tukachukua na sisi washkaji kilo 2 hivi. Nami nikasema ngoja nionje huyu mdudu ambao JF wanamsifia eti ni mtamu hasa ukishushia na Nyagi. Basi bwana ikaandaliwa vizuri sana hadi inaiitata nami nikasogea, nilijua nitakuta radha special kwenye pork (kulikua na supu, miskaki, iliyolostiwa, na ya pilau) asee mboga ya hovyo sana sijawah ona nilikula kidogo tu ikanishinda maana nilitema mate sana hafu nasikia imekaa rohoni. Ilibidi nile limao nzima ndo nikapata ahueni...


Nyama ya kuku itabaki kua nyama bora wakati wote kwangu hadi naacha hii dunia..

Da'Vinci: Young, Wild, Broke and Brainy.
muda si mrefu nimeipiga na pilau mchuzi uliochemshiwa ndo umetiwa kwenye pilau halafu ikakaushwa kwa kujikaanga na mafuta yake ikasindikizwa na kachumbali na pilipli na njegere hapa nahema kama tembo mzee
 
Wewe kuna jambo dogo linakusumbua,utamu wa kitu chochote kile unaanzia kwenye mind setup,sasa kama kisaikolojia ulikuwa umeshaathirika kuwa kitimoto ni nyama ovyo unategemea utakutana na utamu siku ukiila?!
 
Kwa miaka kadhaa toka nikiwa mtoto mdogo hadi leo hii nimekua sili Kitimoto Japo mimi ni Mkristo mkatoriki wa kuzaliwa. Hii ilitokana na sababu zangu binafsi na sheria kwenye biblia ya inayosema...
Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.

Mambo ya Walawi 11:7

Hivyo nikawa sigusi kitimoto hata nyumbani hakijawahi kupikwa (Mama alikua Muislim kabla, hatak ata kuiona japo mkatoriki)
Basi kwenye Pasaka hii ya Juzi juzi apa jirani yetu mchaga Noah yake aliipiga Breakdown akawa anauuza Kilo kwa buku Saba za lumumba tu. Tukachukua na sisi washkaji kilo 2 hivi. Nami nikasema ngoja nionje huyu mdudu ambao JF wanamsifia eti ni mtamu hasa ukishushia na Nyagi. Basi bwana ikaandaliwa vizuri sana hadi inaiitata nami nikasogea, nilijua nitakuta radha special kwenye pork (kulikua na supu, miskaki, iliyolostiwa, na ya pilau) asee mboga ya hovyo sana sijawah ona nilikula kidogo tu ikanishinda maana nilitema mate sana hafu nasikia imekaa rohoni. Ilibidi nile limao nzima ndo nikapata ahueni...


Nyama ya kuku itabaki kua nyama bora wakati wote kwangu hadi naacha hii dunia..

Da'Vinci: Young, Wild, Broke and Brainy.
we jamaa kweli mshamba mamaeee
 
Back
Top Bottom