Kitimoto kupatikana Zanzibar ni ishara ya uvumulivu

Uvumilivu gani wakati walaji wakubwa ni Wazanzibari wenyewe? Tena pale inapotengenezwa pana lodge ambapo wale viongozi na watu maarufu wasiopenda kuonekana wanapoagiza watengenezewa kitimoto huweka na booking ya chumba kabisa ili walie vyumbani wasionekane?
Vijana wa kipemba na wakiarabu waliojizira wale huwa ndiyo wanailia palepale nje ( bar )
 
Hivi jina la mbuzi katoliki lilipatikanaje?
Nafikiri ni kwa sababu ilikuwa kati ya miradi pendwa ya Mashirika ya Kanisa Katoliki. Inasemekana Seminary nyingi za KATOLIKI zilikuwa na mradi wa ufugaji nguruwe.
 
Aisee!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…