Kitimoto kupatikana Zanzibar ni ishara ya uvumulivu

Zanzibar ni sehemu ya Tanzania,na Tanzania sio nchi ya kiislamu,hivyo ni ruksa popote kitimoto kuliwa, Tanzania ni nchi isiyofuata misingi ya dini yoyote Ktk uongozi
Ni kweli, ila usijaribu kula hadharani Zanzibar kipindi cha mfungo wa Ramadhani. Ni ushauri tu lakini!
 
Seen.
 
Zanzibar ni nchi kiongozi,kasome katiba yao hii MPYA..
Kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984, Zanzibar ni nchi na Taifa.

Ona:
✓ ina mipaka yake
✓ ina Rais wake
✓ ina Bunge lake
✓ ina Jaji mkuu wake
✓ ina mwanasheria mkuu wake
✓ ina Jeshi lake
✓ wimbo wake wa Taifa
✓ ina bendera yake
✓ raia wake
✓ ina vitambilisho vyake
 
uvumilivu gani wakati nao wanafinya mbuzi
 
Je ulimuuliza Bi Janeth wateja wake wa kitoweo ni akina nani na kwanini kuna msimu biashara hiyo inayumba?
 
hivi anayekula kitimoto, na anayefira wanaume na wanawake, nani wa kupigwa mawe? ushoga umejaa zanzibar, hadi mashoga watakuwa wanajifanay hawali kitimoto. wanawake wa zanzibar wanajulikana kwa mpalange, ila wanajifanya hawali kitimoto. wanaogopa dini, ila sirini wanajijua wenyewe.
 
Mbona unaongea mambo hayo Itakuwa na wewe umefanyiwa . Aisifuye mvua imemnyea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…