Blender
JF-Expert Member
- Mar 5, 2022
- 4,870
- 8,035
Mimi hawataniweza nitawashindilia vyuma hataaminuHuijuhi zenj wewe! Fika kipindi cha mfungo wa ramadhani, uone balaa, nunua maji harafu uyanywe hadharani, utaomba Mungu aitoe roho yako!unaweza ukashambuliwa hata na mapanga,
Kipindi cha mfungo, hata boti za kwenda zenj, haziuzi vinywaji, ndani,cafeteria zinafungwa! Kama vile wote waliopanda ni islam! Hapo uvumilivu upo wapi!
Ukiwa, kule unajengewa mazingira huwezi kula, na, uone vibaya kula