Kitimoto kupatikana Zanzibar ni ishara ya uvumulivu

Kitimoto kupatikana Zanzibar ni ishara ya uvumulivu

Japo Zanziba ni sehemu ya Tanzania, inafahamika kuwa asilimia kubwa ya wakazi wake ni Waislamu. Na inafahamika kuwa nguruwe, au MBUZI KATOLIKI kama inavyoitwa na baadhi ya watu, ni wanyama haramu kwa Waislamu.

Lakini unajua hiyo mboga inapatikana hata Zanzibar? Kwa ambaye hajawahi kufika huko, anaweza asiamini. Hata mimi nilikuwa na mtazamo huo. Ulibadilika baada ya kushuhudia kwa macho yangu na kinywa changu.

Ilikuwa mara yangu ya kwanza kufika Zanzibar. Nilipoulizia gesti iliyopo sehemu tulivu, baada ya kutoridhishwa na zilizopo maeneo ya Darajani, niliambiwa niemde kwa BI JANETH, mahali wanakouza kitimoto. Ipo Mbwe, Unguja.

Nilitilia mashaka hayo maelezo, lakini nikaamua kujiridhisha. Hata baada ya kufika kwa BI JANETH, na kuulizia vyakula vinavyopatikana hapo, bado sikuamini nilipotajiwa mpaka kitimoto. Lakini nilipojionea mwenyewe kwa macho yangu na kinywa changu, sikuwa na sababu tena ya kuwa na mashaka, badala yake, nilibaki na mshangao. Niligundua kuwa Mzanzibar si kama nilivyokuwa nikiifahamu, kwa kuambiwa.

Sijui ilifika fikaje hapo kwenye hiyo lodge! Sijui kama nguruwe wanafugwa huko Zanzibar au wametolewa bara.

Lakini naamini Serikali na Raia wanafahamu kuwa kuna biashara kama hiyo huko Zanzibar. Kitendo cha kuruhusu watumiaji wa hiyo mboga kujinafasi bila kubughudhiwa, hata kama ni katika baadhi ya maeneo tu, kinaonesha wazi kuwa Wazanzibar ni watu waelewa na wavumulivu pia.

Wameonesha kwa vitendo kuwa japo wao (wengi wao) hawaitumii kitimoto, wanaheshimu Imani za wengine. Ndiyo maana hawajaweka ukwazo kwa wanaohitaji hiyo mboga. Huo ni ustaarabu wa hali ya juu!!!

Hongereni sana Wazanzibar!
Kipo kweli kitimoto huko zenji hebu rudia kipoo .nakuja zenji chap
 
Kipo kweli kitimoto huko zenji hebu rudia kipoo .nakuja zenji chap
Mkuu sipo Zenji kwa sasa. Lakini nilipokuwa huko, nilijithibtishia kwa macho yangu na kinywa changu kuwa kipo, pale kwa BI JANETH.

Na taarifa zilizopo ni kuwa kuna hoteli nyingi za kitalii zinazouza, tena bila kificho.

Kama unataka kwenda, nenda tu mkuu, hutalala njaa.
 
Watu wengu udhani nguruwe ndio dhambi kubwa katika uisilamu

Nakutajia baadhi ya madhambi makubwa kwenye uisilamu yalioko Zanzibar tena madhambi haya wanatoa mtu katika imani ya uisilamu

1 kutoswali swala 5 wengi wao hawaswali akili zao ziko kwenye mpila na viama

2 kurawitiana baadhi yao

3 kuna mabeki ya nmb yanatoa na kupokea riba

4 kuna mahoteli ya kitalii ndani yake kuna pombe kamali mashoga ufusika wa kila aina

5 kila uchaguzi wanauwawa watu wasio kuwa na atia

6 kuna ubaguzi kati ya Wapemba na waunguja pia kuna ubaguzi kati ya wazazibar na Wabara ingawa wote ni waisilamu

Haya ni baadhi ya madhambi makubwa yalioko huko nguruwe nayo ndhambi lakini utoswali swala 5 nidhambi zaidi
Na Shirki

Umeongea mambo ya msingi sana
 
Japo Zanziba ni sehemu ya Tanzania, inafahamika kuwa asilimia kubwa ya wakazi wake ni Waislamu. Na inafahamika kuwa nguruwe, au MBUZI KATOLIKI kama inavyoitwa na baadhi ya watu, ni wanyama haramu kwa Waislamu.

Lakini unajua hiyo mboga inapatikana hata Zanzibar? Kwa ambaye hajawahi kufika huko, anaweza asiamini. Hata mimi nilikuwa na mtazamo huo. Ulibadilika baada ya kushuhudia kwa macho yangu na kinywa changu.

Ilikuwa mara yangu ya kwanza kufika Zanzibar. Nilipoulizia gesti iliyopo sehemu tulivu, baada ya kutoridhishwa na zilizopo maeneo ya Darajani, niliambiwa niemde kwa BI JANETH, mahali wanakouza kitimoto. Ipo Mbwe, Unguja.

Nilitilia mashaka hayo maelezo, lakini nikaamua kujiridhisha. Hata baada ya kufika kwa BI JANETH, na kuulizia vyakula vinavyopatikana hapo, bado sikuamini nilipotajiwa mpaka kitimoto. Lakini nilipojionea mwenyewe kwa macho yangu na kinywa changu, sikuwa na sababu tena ya kuwa na mashaka, badala yake, nilibaki na mshangao. Niligundua kuwa Mzanzibar si kama nilivyokuwa nikiifahamu, kwa kuambiwa.

Sijui ilifika fikaje hapo kwenye hiyo lodge! Sijui kama nguruwe wanafugwa huko Zanzibar au wametolewa bara.

Lakini naamini Serikali na Raia wanafahamu kuwa kuna biashara kama hiyo huko Zanzibar. Kitendo cha kuruhusu watumiaji wa hiyo mboga kujinafasi bila kubughudhiwa, hata kama ni katika baadhi ya maeneo tu, kinaonesha wazi kuwa Wazanzibar ni watu waelewa na wavumulivu pia.

Wameonesha kwa vitendo kuwa japo wao (wengi wao) hawaitumii kitimoto, wanaheshimu Imani za wengine. Ndiyo maana hawajaweka ukwazo kwa wanaohitaji hiyo mboga. Huo ni ustaarabu wa hali ya juu!!!

Hongereni sana Wazanzibar!
Bila picha huu Uzi ni batili..
 
Kitimoto kimechangia sana kuimarisha muungano, suala la uvumilivu wa imani linakuja baadae.
 
Mkuu sipo Zenji kwa sasa. Lakini nilipokuwa huko, nilijithibtishia kwa macho yangu na kinywa changu kuwa kipo, pale kwa BI JANETH.

Na taarifa zilizopo ni kuwa kuna hoteli nyingi za kitalii zinazouza, tena bila kificho.

Kama unataka kwenda, nenda tu mkuu, hutalala njaa.
Mwaka 1993 nilikaa lodge moja karibu na viwanja vya golf, wakati huo pombe inapatikana golf na Bwawani hotel pekee,nilichoshuhudia pale ni mashoga wengi wakiwa huru kabisa,ila ukitaka changu unaunganishwa na shoga maana wao hawaruhusiwi.
 
Kafiri atabaki kuwa Kafiri tu haijalishi kama unafanya nae kazi haijalishi unaishi nae atabaki kuwa Kafiri tu.
NDIO UNAFIKI WENU WAISLAM HUO

Ninyi ni "Chichidodo" The Bird that feeds on magot yet hate the feaces

Chichodo ni ndege anayekula funza wa kwny mavi lakini anajifanya kuchukia kinyesi

Ni Ndege Mnafiki.
 
NDIO UNAFIKI WENU WAISLAM HUO

Ninyi ni "Chichidodo" The Bird that feeds on magot yet hate the feaces

Chichodo ni ndege anayekula funza wa kwny mavi lakini anajifanya kuchukia kinyesi

Ni Ndege Mnafiki.
Hata iweje wewe utabaki kuwa Kafiri tu mpaka usilimu
 
Japo Zanziba ni sehemu ya Tanzania, inafahamika kuwa asilimia kubwa ya wakazi wake ni Waislamu. Na inafahamika kuwa nguruwe, au MBUZI KATOLIKI kama inavyoitwa na baadhi ya watu, ni wanyama haramu kwa Waislamu.

Lakini unajua hiyo mboga inapatikana hata Zanzibar? Kwa ambaye hajawahi kufika huko, anaweza asiamini. Hata mimi nilikuwa na mtazamo huo. Ulibadilika baada ya kushuhudia kwa macho yangu na kinywa changu.

Ilikuwa mara yangu ya kwanza kufika Zanzibar. Nilipoulizia gesti iliyopo sehemu tulivu, baada ya kutoridhishwa na zilizopo maeneo ya Darajani, niliambiwa niemde kwa BI JANETH, mahali wanakouza kitimoto. Ipo Mbwe, Unguja.

Nilitilia mashaka hayo maelezo, lakini nikaamua kujiridhisha. Hata baada ya kufika kwa BI JANETH, na kuulizia vyakula vinavyopatikana hapo, bado sikuamini nilipotajiwa mpaka kitimoto. Lakini nilipojionea mwenyewe kwa macho yangu na kinywa changu, sikuwa na sababu tena ya kuwa na mashaka, badala yake, nilibaki na mshangao. Niligundua kuwa Mzanzibar si kama nilivyokuwa nikiifahamu, kwa kuambiwa.

Sijui ilifika fikaje hapo kwenye hiyo lodge! Sijui kama nguruwe wanafugwa huko Zanzibar au wametolewa bara.

Lakini naamini Serikali na Raia wanafahamu kuwa kuna biashara kama hiyo huko Zanzibar. Kitendo cha kuruhusu watumiaji wa hiyo mboga kujinafasi bila kubughudhiwa, hata kama ni katika baadhi ya maeneo tu, kinaonesha wazi kuwa Wazanzibar ni watu waelewa na wavumulivu pia.

Wameonesha kwa vitendo kuwa japo wao (wengi wao) hawaitumii kitimoto, wanaheshimu Imani za wengine. Ndiyo maana hawajaweka ukwazo kwa wanaohitaji hiyo mboga. Huo ni ustaarabu wa hali ya juu!!!

Hongereni sana Wazanzibar!

Wacha kupakazia Darajani wapi, Zanzibar kuna gesti ?? hata Darajani unapajuwa ni wapi ??
 
Japo Zanziba ni sehemu ya Tanzania, inafahamika kuwa asilimia kubwa ya wakazi wake ni Waislamu. Na inafahamika kuwa nguruwe, au MBUZI KATOLIKI kama inavyoitwa na baadhi ya watu, ni wanyama haramu kwa Waislamu.

Lakini unajua hiyo mboga inapatikana hata Zanzibar? Kwa ambaye hajawahi kufika huko, anaweza asiamini. Hata mimi nilikuwa na mtazamo huo. Ulibadilika baada ya kushuhudia kwa macho yangu na kinywa changu.

Ilikuwa mara yangu ya kwanza kufika Zanzibar. Nilipoulizia gesti iliyopo sehemu tulivu, baada ya kutoridhishwa na zilizopo maeneo ya Darajani, niliambiwa niemde kwa BI JANETH, mahali wanakouza kitimoto. Ipo Mbwe, Unguja.

Nilitilia mashaka hayo maelezo, lakini nikaamua kujiridhisha. Hata baada ya kufika kwa BI JANETH, na kuulizia vyakula vinavyopatikana hapo, bado sikuamini nilipotajiwa mpaka kitimoto. Lakini nilipojionea mwenyewe kwa macho yangu na kinywa changu, sikuwa na sababu tena ya kuwa na mashaka, badala yake, nilibaki na mshangao. Niligundua kuwa Mzanzibar si kama nilivyokuwa nikiifahamu, kwa kuambiwa.

Sijui ilifika fikaje hapo kwenye hiyo lodge! Sijui kama nguruwe wanafugwa huko Zanzibar au wametolewa bara.

Lakini naamini Serikali na Raia wanafahamu kuwa kuna biashara kama hiyo huko Zanzibar. Kitendo cha kuruhusu watumiaji wa hiyo mboga kujinafasi bila kubughudhiwa, hata kama ni katika baadhi ya maeneo tu, kinaonesha wazi kuwa Wazanzibar ni watu waelewa na wavumulivu pia.

Wameonesha kwa vitendo kuwa japo wao (wengi wao) hawaitumii kitimoto, wanaheshimu Imani za wengine. Ndiyo maana hawajaweka ukwazo kwa wanaohitaji hiyo mboga. Huo ni ustaarabu wa hali ya juu!!!

Hongereni sana Wazanzibar!
Huyo bi Janeth mwenyewe ni hakimu, ni maeneo ya mbweni, hapo unapata kiti moto na bia na gesti bubu.

Wazanzibar wanamuogopa wanajuwa ukigusa anga zake anakufunga mwenyewe.

Ukitaka kuwa juwa vizuri Wazanzibar nenda sehemu za starehe SAA 8 usiku ndio utashuhudia hijab zimeshavuliwa sasa warembo wana vimini tu.

Note; ukienda kwenye madisco yao SAA 4 usiku au SAA tano usiku huwezi kujuwa kama hizo sehemu huwa zinajaza, wewe nenda kuanzia SAA 6 usiku ili uujuwe upande wa Pili wa Wazanzibar usioujuwa.
 
Wacha kupakazia Darajani wapi, Zanzibar kuna gesti ?? hata Darajani unapajuwa ni wapi ??
Gesti zipo na bar za pombe zimejaa tele uwanja wa amani pembeni kwenye fremu za Ccm.

Mabwalo ya Jeshi kote kunauzwa pombe, Gymkhana, BOT na kule mbweni kuna bar za kutosha tu.

Sehemu ambazo Nina uhakika huwezi kukuta bar wala gesti ni kwa Maalim Seif Sharrif Hamad, hilo eneo wakazi wake almost ni wapemba wa kutoka Pemba.
 
Gesti zipo na bar za pombe zimejaa tele uwanja wa amani pembeni kwenye fremu za Ccm.

Mabwalo ya Jeshi kote kunauzwa pombe, Gymkhana, BOT na kule mbweni kuna bar za kutosha tu.

Sehemu ambazo Nina uhakika huwezi kukuta bar wala gesti ni kwa Maalim Seif Sharrif Hamad, hilo eneo wakazi wake almost ni wapemba wa kutoka Pemba.

Mzee wa Phd , Dr Matola , Darajani , Zanzibar kuna gesti ??
 

Mzee wa Phd , Dr Matola , Darajani , Jifundishe kujibu swali

Darajani, Zanzibar kuna gesti ??
 
Japo Zanziba ni sehemu ya Tanzania, inafahamika kuwa asilimia kubwa ya wakazi wake ni Waislamu. Na inafahamika kuwa nguruwe, au MBUZI KATOLIKI kama inavyoitwa na baadhi ya watu, ni wanyama haramu kwa Waislamu.

Lakini unajua hiyo mboga inapatikana hata Zanzibar? Kwa ambaye hajawahi kufika huko, anaweza asiamini. Hata mimi nilikuwa na mtazamo huo. Ulibadilika baada ya kushuhudia kwa macho yangu na kinywa changu.

Ilikuwa mara yangu ya kwanza kufika Zanzibar. Nilipoulizia gesti iliyopo sehemu tulivu, baada ya kutoridhishwa na zilizopo maeneo ya Darajani, niliambiwa niemde kwa BI JANETH, mahali wanakouza kitimoto. Ipo Mbwe, Unguja.

Nilitilia mashaka hayo maelezo, lakini nikaamua kujiridhisha. Hata baada ya kufika kwa BI JANETH, na kuulizia vyakula vinavyopatikana hapo, bado sikuamini nilipotajiwa mpaka kitimoto. Lakini nilipojionea mwenyewe kwa macho yangu na kinywa changu, sikuwa na sababu tena ya kuwa na mashaka, badala yake, nilibaki na mshangao. Niligundua kuwa Mzanzibar si kama nilivyokuwa nikiifahamu, kwa kuambiwa.

Sijui ilifika fikaje hapo kwenye hiyo lodge! Sijui kama nguruwe wanafugwa huko Zanzibar au wametolewa bara.

Lakini naamini Serikali na Raia wanafahamu kuwa kuna biashara kama hiyo huko Zanzibar. Kitendo cha kuruhusu watumiaji wa hiyo mboga kujinafasi bila kubughudhiwa, hata kama ni katika baadhi ya maeneo tu, kinaonesha wazi kuwa Wazanzibar ni watu waelewa na wavumulivu pia.

Wameonesha kwa vitendo kuwa japo wao (wengi wao) hawaitumii kitimoto, wanaheshimu Imani za wengine. Ndiyo maana hawajaweka ukwazo kwa wanaohitaji hiyo mboga. Huo ni ustaarabu wa hali ya juu!!!

Hongereni sana Wazanzibar!
Huijuhi zenj wewe! Fika kipindi cha mfungo wa ramadhani, uone balaa, nunua maji harafu uyanywe hadharani, utaomba Mungu aitoe roho yako!unaweza ukashambuliwa hata na mapanga,
Kipindi cha mfungo, hata boti za kwenda zenj, haziuzi vinywaji, ndani,cafeteria zinafungwa! Kama vile wote waliopanda ni islam! Hapo uvumilivu upo wapi!
Ukiwa, kule unajengewa mazingira huwezi kula, na, uone vibaya kula
 
Back
Top Bottom