Kitimoto kuuzwa holela si ustaarabu!

Kitimoto ni nyama tamu Sana hazijawahi tokea tunawakaribisha wote ambao hawajawahi kuonja waonje kupata utamu wake karibuni sana
 
Nadhani maandishi yanayosomeka WAKRISTO BUTCHER ndiyo tatizo. Wanafiki nyie, mbona dada zetu wanakula kitimoto na mnawala denda, au mbususu ya mla kitimoto ni halali kwenu ?!

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Mbona kwenye benki ya taifa kuna aina ya akaunti ya kiislamu? Kwanini wasione tatizo hapo?
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kwenye vita kama hii unatakiwa ukae kimya, ila nakumbuka wakati tunasoma tulikuwa tunakula na akina yahaya na Husna, na wanapiga fresh tu bila tatizo, mbeya huko vitimoto vinakofugwa
 
Kumbe wameambiwa wale..!! Tunatofautiana mazingira ya kula tu..!! Mimi nakula nikiimisi na wao wanatakiwa wale wakiwa kwenye mazingira waliyotajiwa. MAKAFIR WENZETU TU KUMBE..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…