ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Huyu mdudu haepukiki
Unateseka ukiwa wapi?Katika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?
Kweli kabisa kila mtu awe mstaarabu kwa dini na imani yake..bila chokochoko wala kukataza waumini fulani wasijenge kanisa.Tuheshimu na kustaarabika
Nimeipenda sana hii picha!
Vinakera balaaa, afu kutwaaa kutoa mahubiri.Vipaza sauti vya adhana kulia ovyo pia sio ustaarabu
Unakoelekea utasema na makanisa yapo kila sehemu..!!Katika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?
Na kuna madhehebu hawanywi koka, lakini inauzwa kila pahala. Waache ujinga waoKuna madhehebu hawali samaki, why zinauzwa kila sehemu? Kwa nini hamuheshimu imani za wengine? Mnataka yenu tu ndio iheshimiwe?
Shemela, iwkote tu akifie mbeleJuma baada ya mfungo ulitoa thread umemiss kitimoto naikumbuka vema 😁
Mbona kwenye benki ya taifa kuna aina ya akaunti ya kiislamu? Kwanini wasione tatizo hapo?Nadhani maandishi yanayosomeka WAKRISTO BUTCHER ndiyo tatizo. Wanafiki nyie, mbona dada zetu wanakula kitimoto na mnawala denda, au mbususu ya mla kitimoto ni halali kwenu ?!
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Yaani mimi kujitandikia kitimoto yangu ukerwe wewe..!!! Mbona unapokunywa bia husemi kama na wewe unakera?Wakristo wanakera sana
Labda nje ya dunia..!!Ulitaka mabucha yawekwe wapi na wapi??
Yafichwe wapi?
Kumbe wameambiwa wale..!! Tunatofautiana mazingira ya kula tu..!! Mimi nakula nikiimisi na wao wanatakiwa wale wakiwa kwenye mazingira waliyotajiwa. MAKAFIR WENZETU TU KUMBE..!!Weka hiyo Aya inayo kataza kula nguruwe watu waione.
Mmekatazwa kula mkiwa mmeshiba tu basi. Au niiweke ?
Surah Al-Baqarat: Ayah 173
يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ كُلُواْ مِن طَيِّبَٰتِ مَا رَزَقۡنَٰكُمۡ وَٱشۡكُرُواْ لِلَّهِ إِن كُنتُمۡ إِيَّاهُ تَعۡبُدُونَ
*Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya nguruwe na kilicho tajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu. Lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
Surah Al-An'am: Ayah 145
قُل لَّآ أَجِدُ فِي مَآ أُوحِيَ إِلَيَّ مُحَرَّمًا عَلَىٰ طَاعِمٖ يَطۡعَمُهُۥٓ إِلَّآ أَن يَكُونَ مَيۡتَةً أَوۡ دَمٗا مَّسۡفُوحًا أَوۡ لَحۡمَ خِنزِيرٖ فَإِنَّهُۥ رِجۡسٌ أَوۡ فِسۡقًا أُهِلَّ لِغَيۡرِ ٱللَّهِ بِهِۦۚ فَمَنِ ٱضۡطُرَّ غَيۡرَ بَاغٖ وَلَا عَادٖ فَإِنَّ رَبَّكَ غَفُورٞ رَّحِيمٞ
Sema: Sioni katika yale niliyo funuliwa mimi kitu kilicho harimishwa kwa mlaji kukila isipo kuwa kiwe ni nyamafu, au damu inayo mwagika, au nyama ya nguruwe, kwani hiyo ni uchafu; au kwa upotofu kimechinjwa kwa jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu. Lakini mwenye kushikwa na dharura, bila ya kutamani wala kupita mipaka, basi hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
Surah A-Nahli: Ayah 115
إِنَّمَا حَرَّمَ عَلَيۡكُمُ ٱلۡمَيۡتَةَ وَٱلدَّمَ وَلَحۡمَ ٱلۡخِنزِيرِ وَمَآ أُهِلَّ لِغَيۡرِ ٱللَّهِ بِهِۦۖ فَمَنِ ٱضۡطُرَّ غَيۡرَ بَاغٖ وَلَا عَادٖ فَإِنَّ ٱللَّهَ غَفُورٞ رَّحِيمٞ
Amekuharimishieni nyamafu tu, na damu, na nyama ya nguruwe, na mnyama aliye chinjwa kwa ajili isiyo kuwa ya Mwenyezi Mungu. Lakini anaye lazimishwa bila ya kuasi, wala kuruka mipaka, basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe na Mwenye kurehemu.
Haya nioneshe wapi Nguruwe kakatazwa kuliwa na Waislamu.
Kwahiyo mmeambiwa muwauwe..!! Halafu unarudi kuniambia ni dini ya upendo..!!! UPENDO MY KITIMOTOSasa mtu anamkataa mtume umfanyeje?
Kama haziuwi, MBONA POA TU..!!Ila mnakula kwa tahadhari unaweza kupewa korodani zimerostiwa vema ukafikiri mafuta .....,....