Kitimoto kuuzwa holela si ustaarabu!

Hahaha
 
kitimoto haraaam haifai mungu kakataza lakini ubishi wabinadamu wanampinga Hadi mungu utaskia jitu linasema kitimoto tamu kuliko nyama yoyote ilimladitu ambishie mungu uzuli inajulikana ukila kitimoto ukifa nimotoni Haina kuuliza kwahio endeleeni
Umezaliwa kitimoto umeikuta na utakufa kitimoto utaiacha maana hukuiumba ww na ivyo ww ndo haraam kuita kilichoumbwa na Mwenyezi Mungu haraam!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umezaliwa kitimoto umeikuta na utakufa kitimoto utaiacha maana hukuiumba ww na ivyo ww ndo haraam kuita kilichoumbwa na Mwenyezi Mungu haraam! View attachment 2403166

Sent using Jamii Forums mobile app
Daah..umeamua kumdodishia shehe ubwabwa mfia dini..yuko radhi kulamba k na tigo ila kula kitimoto anasema haramu..so pathetic.

#MaendeleoHayanaChama
 

Harufu kama ya mtu, sijasema harufu kama ya nyama ya mtu. Unajua kusoma?
Mbona machinjioni mifugo inachinjwa na mashine hamlalamiki
 
Yaani mimi kujitandikia kitimoto yangu ukerwe wewe..!!! Mbona unapokunywa bia husemi kama na wewe unakera?
Una hakika kama nakunywa bia? Au alikusimulia demu wako kwamba nakunywq bia?
 
Kuwabagua wanafunzi wengine wamevaa vilemba na shule kuwa na misikiti wakati serikali haina dini, unadhani haitukeri. Yaani muslims Muna shida sana.
 
Katika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?

Hahaaaa, nakumbuka mhadhara mmoja Morogoro jamaa walikuwa wanaponda kitimoto. Akasimama Mkristo mmoja akiwa amelewa na akawauliza? Mbona mnalalamikia kula Nguruwe wakati mnakula kuku na Bata wanao....... rana. Kwani umeshaona Jike la Bata au kuku lina njia ngapi? Umeshawahi ona Nguruwe dume anakosea njia? Jamaa wakamfukuza kwa hasira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…