Kitimoto kuuzwa holela si ustaarabu!

Kitimoto kuuzwa holela si ustaarabu!

Katika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?

Imani uliyoletewa na watesi wakubwa wa dunia imekuchafua akiri; ukienda south africa kuna waislam but meat shop huwa ni moja tuuuu na unakuta nyama zote zipo ndani ya duka moja na msumeno na kisu kimoja vinatumika, no one bothers
 
Hebu kapitie na Ilmu dunia kidogo Sheikh ujue hata kuandika vizuri, usiwe kama Mwamedi wa Mecca

Wabillah Tawfiq
huko kote Nisha pitia ndomana nimeandika na umeelewa. ilapole najua umeumia kwa nilicho andika kukasirika sio suluhisho Bali kubadilika ndo salama yako mbele za Allah nakuombea utoke ukafirini
 
kweli kabisa maana haramu nyingine (ngamia isiyo na kwato) huuzwa kwa kificho
 
Mleta mada nasikia udenda wa hamu ya kula kitimoto sijala kitimoto siku nyingi

Kuona tu neno kitimoto imeamsha hamu yangu ya kula ngoja niende nikanunue .Leo lazima nile kitimoto

Asante mleta mada kunistua
 
msikilizeni vizuri, mwamba anataka kitimoto kipewe heshima yake. naona kama ana hoja ya msingi.
 
huko kote Nisha pitia ndomana nimeandika na umeelewa. ilapole najua umeumia kwa nilicho andika kukasirika sio suluhisho Bali kubadilika ndo salama yako mbele za Allah nakuombea utoke ukafirini
KAFIR wa kwanza ni Mtume Mwamedi wa Makka, unataka nitaja ukafiri wake wote? Sema Su
 
Ninyi ndio waasisi wa hayo mambo, hata kwa Tanzania mnaita mambo ya pwani sheikh [emoji23][emoji23][emoji23]
kwahio watu wapwani wameanzisha na papa wenu akabariki? papa nimtu wapwani wee chok?
 
KAFIR wa kwanza ni Mtume Mwamedi wa Makka, unataka nitaja ukafiri wake wote? Sema Su
hivi naomba kujuzwa mbona kila wanaposoma maandiko ya kitabu kile waanza na neno hadithi za mtume hivi yale ni hadithi tu si maandiko
Hapa nimeamini kweli unakula sio kwa kukiri huku.
mnatoka povu bure mleta mada alikuwa anamaana anatangaza biashara sasa iko kila mahala nyinyi nawashangaa tunashukuru sana mdau mleta mada agiza kilo moja nakuja kulipa hapo
 
Back
Top Bottom