Kitimoto nacho BEI JUU!

Kitimoto inatakiwa iuzwe mara mbili ya nyama ya ng'ombe, ni basi tu wachinjaji waliwabania wafugaji. Gharama za kumfuga huyu mnyama ni kubwa sio km ng,ombe anayekula majani na virutubishi vidogo vya ziada. Kitimoto Kila siku anatakiwa apate mchanganyiko wa pumba, mashudu, pig buster, majani nk
 
Gharama Ni kiasi gani? Au mpunguziwe ushuru?
 
Kilema Leo nimeila kwa 7000 ikiwa na kichuri saaaaafi
 
Duh Mimi nafanya hiyo biashara .... inshort kitimoto ilipotea Sana sokoni....saivi kinarudi Kwa Kasi sijui kwanini
Fafanua kauli,[emoji1787][emoji1787][emoji1787]au tuite uchochez..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman khaaaah
 
Watukufu ndugu zangu. Inakuaje Kitimoto kipande bei ghafla hivi? Yaani nilikipania mwezi mzima sijala.
Kutoka 14,000/kg TZS mpaka 21,000/kg. Imebd nilipe tu Sina namna. Ila namna hii sio fair.
***Nakula huku Nina hofu sana
View attachment 2211443
Kwa hiyo kipindi cha mfungo hauli kitimoto? Dunia hii ina mambo sana
 
Llaana uliyelaaniwa sawa na wale 🐷🐖🐷🐖bwana Yesu akiowasukumia mapepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…