Bwana Aboubakar mkavu!;Leo nimekula kitimoto hapa MIBS Tavern Sinza Mori, wale jamaa wanajua kukaanga balaa. Kuna mbavu tu Zina utamu wa balaa zinawekewa na marination ya kitaalamu inayopatikana kwenye Mahoteli makubwa tu.
Kwa kitimoto MIBS wako juu.. sema Bei yake ndio ya kizungu kabisaa.. kilo 16,000/= nusu 8000/= lakini unaiona value for money.
Kachumbari ni Yale mafuta ya ngozi ndio wanatengenezea lazma ujilambe.View attachment 2213025
Nani athubutu, tumpopoe mawe.Kitimoto ipigwe marufuku
But why?Nani athubutu, tumpopoe mawe.
kiboko amefanana na kitimoto, sio haramu yule?Tuhamie Kula wanyama wa mbungani, swala kiboko, nyumbu bado wako wengi
jirani kabisaJumuiya ya Mtakatifu Kizito, Kigango cha huku Mbezi Luis, Parokia ya Yudatadei ndio wanauza hapa
ughonile kissa!Rungwe-Mbeya, 8 tu, na motisha wa ndizi nne bure!
Wapi huko,huku kwetu bado nusu 3000...Watukufu ndugu zangu. Inakuaje Kitimoto kipande bei ghafla hivi? Yaani nilikipania mwezi mzima sijala.
Kutoka 14,000/kg TZS mpaka 21,000/kg. Imebd nilipe tu Sina namna. Ila namna hii sio fair.
***Nakula huku Nina hofu sana
View attachment 2211443
Pumba imepanda bei kinyama bwasheheHuu ni uonevu na ulafi wa wauzaji tu. Kwanza kitimoto ana mafuta yake mwenyewe.
Hawawezi hata kusingizia kupanda kwa mafuta kunaathiri biashara yao.
Kama huku chuga,kilpotea yani mpaka tulikuwa tunaenda moshi kukifatilia.Mambo ya walawi 11:27
Wa kibosho.Ni nani aligundua kitimoto partner wake ni ndizi?
Upo Zanzibar?Watukufu ndugu zangu. Inakuaje Kitimoto kipande bei ghafla hivi? Yaani nilikipania mwezi mzima sijala.
Kutoka 14,000/kg TZS mpaka 21,000/kg. Imebd nilipe tu Sina namna. Ila namna hii sio fair.
***Nakula huku Nina hofu sana
View attachment 2211443
Nyama ya nguruwe ni haramuWatukufu ndugu zangu. Inakuaje Kitimoto kipande bei ghafla hivi? Yaani nilikipania mwezi mzima sijala.
Kutoka 14,000/kg TZS mpaka 21,000/kg. Imebd nilipe tu Sina namna. Ila namna hii sio fair.
***Nakula huku Nina hofu sana
View attachment 2211443
Ya Mwenyezi MunguKwa Sheria ipi?
Sasa ivi bei ikoje?Watukufu ndugu zangu. Inakuaje Kitimoto kipande bei ghafla hivi? Yaani nilikipania mwezi mzima sijala.
Kutoka 14,000/kg TZS mpaka 21,000/kg. Imebd nilipe tu Sina namna. Ila namna hii sio fair.
***Nakula huku Nina hofu sana
View attachment 2211443