balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Mambo ya walawi yanawahusu walawi ,hayatuhusu sisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sio uheheni mkuu, kachumbali ingekuwa ya kusaza😁😁Huyo mbona kama mbuzi wa kihehe au kichina🤔.Kwanza mjini hakuna matembele bila shaka hapo ni uheheni🏃
Kwa hiyo ni chunya au Guanzow🤔Hapo sio uheheni mkuu, kachumbali ingekuwa ya kusaza😁😁
😅😅😅Mfungo umeisha kitimoto lazima ipande
Demand imekua kubwa 🐖🐖🐖
Kwahiyo mabomu yanawakimbiza hao wadudu au😝Vita ya Ukraine hiyo.
21,000,nunua nyama ukale na familia bosssWatukufu ndugu zangu. Inakuaje Kitimoto kipande bei ghafla hivi? Yaani nilikipania mwezi mzima sijala.
Kutoka 14,000/kg TZS mpaka 21,000/kg. Imebd nilipe tu Sina namna. Ila namna hii sio fair.
***Nakula huku Nina hofu sana
View attachment 2211443
Bahati mbaya unaweza Kuta ndio kitoweo anachokielewa🏃21,000,nunua nyama ukale na familia bosss
Gharama ya kuwatoa vijijini imepanda,toka petrol upande!Huu ni uonevu na ulafi wa wauzaji tu. Kwanza kitimoto ana mafuta yake mwenyewe.
Hawawezi hata kusingizia kupanda kwa mafuta kunaathiri biashara yao.
siyo kila mvaa baragashia ni muislamu kama mnavyotaka kutuaminisha.
Nyumbu si ni wafuasi wa Cha De Mer? So unataka kuwala?Tuhamie Kula wanyama wa mbungani, swala kiboko, nyumbu bado wako wengi
Njoo Moshi huku bei cheeWatukufu ndugu zangu. Inakuaje Kitimoto kipande bei ghafla hivi? Yaani nilikipania mwezi mzima sijala.
Kutoka 14,000/kg TZS mpaka 21,000/kg. Imebd nilipe tu Sina namna. Ila namna hii sio fair.
***Nakula huku Nina hofu sana
View attachment 2211443
Kitimoto kipigwe marufukuWatukufu ndugu zangu. Inakuaje Kitimoto kipande bei ghafla hivi? Yaani nilikipania mwezi mzima sijala.
Kutoka 14,000/kg TZS mpaka 21,000/kg. Imebd nilipe tu Sina namna. Ila namna hii sio fair.
***Nakula huku Nina hofu sana
View attachment 2211443
Haaa wapi!Kitimoto kipigwe marufuku
Ni kwasababu ya Vita ya Russia na UkraineWatukufu ndugu zangu. Inakuaje Kitimoto kipande bei ghafla hivi? Yaani nilikipania mwezi mzima sijala.
Kutoka 14,000/kg TZS mpaka 21,000/kg. Imebd nilipe tu Sina namna. Ila namna hii sio fair.
***Nakula huku Nina hofu sana
View attachment 2211443
Nimenunua Leo kitimoto robo 2000 ndiz 4 mia saba na Pepsi 600.Mbeya nayo bhanakitimoto ni 12000 hiyo bei umeuziwa ya serena mkuu