jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Uzuri sisi tunaweza kuongea..ila wao hawawezi kuongea bali wanabaki wangugumia moyoni..wanatamani kusema ila wakisema watakosa teuzi.Kwamaana hiyo kubanana mumu Kwa mumu[emoji1732]
#MaendeleoHayanaChama