Kitimoto nacho BEI JUU!

Kitimoto nacho BEI JUU!

Duh!Ishirini na moja elfu!kweli Deni la taifa Ni himilivu kwa vigezo vya kimataifa.
 
Kitimoto inatakiwa iuzwe mara mbili ya nyama ya ng'ombe, ni basi tu wachinjaji waliwabania wafugaji. Gharama za kumfuga huyu mnyama ni kubwa sio km ng,ombe anayekula majani na virutubishi vidogo vya ziada. Kitimoto Kila siku anatakiwa apate mchanganyiko wa pumba, mashudu, pig buster, majani nk
 

Attachments

  • VID-20220504-WA0041.mp4
    4.1 MB
Katika dira ya dunia leo kwenye bbc swahili hata ukienda youtube utaiona nimeona wachina wanagombaniana nyama ya kitimoto nimecheka sana mtu anakula virungu na police haachii nyama😂😂🤣🤣 nikatamani kangekatwa kaclip halafu kazagae instagram 😂😂😂🤣🤣
 
Hii ni taarifa mbaya sana kama ni kweli aiseeeee. Hata kilo iwe laki, nitakula tu.

IMG_20220421_143049.jpg


IMG_20220421_143043.jpg
 
Katika dira ya dunia leo kwenye bbc swahili hata ukienda youtube utaiona nimeona wachina wanagombaniana nyama ya kitimoto nimecheka sana mtu anakula virungu na police haachii nyama😂😂🤣🤣 nikatamani kangekatwa kaclip halafu kazagae instagram 😂😂😂🤣🤣
Wachina wanakula kila kitu
 
Biashara kuanzia jana imeanza kurudi kwenye hali yake kwa kuwa nzuri.

Kipindi cha kama siku 30 hi8 biashara ilikuwa mbovu sana sababu wateja walio wengi walihadimika kabda sijui ni kwasababu ya. ...

Gharama za kumsafirisha zimepanda sana tena mara 1.5 mpaka mara 2 ya gharama iliyokuwepo.

Pia nauza mafuta yake bei rahisi sana na ni mazuri sana. Karibuni sana mpunguze gharama za mafuta.

Cc. FaizaFoxy, Juma1967

View attachment 2211665
Kwa hiyo unataka kusema ndugu zetu waliokuwa kwenye mfungo Mtukufu ni wadau wazuri wa Mdudu??.
 
Back
Top Bottom