Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
š¤£Sindano kwa mfupaOut of topic,
Shut the fvck up.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
š¤£Sindano kwa mfupaOut of topic,
Shut the fvck up.
Hapo kwenye size ni kweli, nguruwe wa sikuhizi wadogo sana, miaka ile kile dude hilo miguu imejaa matopeNi aina ya nguruwe fulani wanafugwa siku hizi, hawana mafutafuta mengi kama ile mbegu ya zamani kubwa kubwa ndefu. Hawa nguruwe wa sasa hivi ni wadogodogo wafupi. Siku hizi si nyama tu hata mchele na mahindi imepoteza harufu nzuri na ladha kama zamani, ni mbegu mpya hizi
Kitimoto kitamu sana!Aisee msema ukweli mpenzi wa Mungu, utamu wa kitimoto harufu ile.
Sasa siku hizi unakula kitimoto ila ni kama nyama ya ng'ombe tu.
Kipindi sie tunakua, miaka hiyooo, mzee basi akirudi na kitimoto nyumbani ile harufu tu inatosha kuwaamsha na kuwafanya mkae ubalazani kusubiri muitwe mtoe vyombe angalau ule vile vipisi vinavyobaki.
Kitimoto ya sikuhizi haina kabisa ile harufu yake original, wote mnaohusika na hili mnatufedhehesha sana sie wadau wa huyu mbuzi mkatoliki.
Nimemaliza.
Umeanza kula kitimoto huku unajitambua mwaka gn?
Kama ni 2000 kuja mbele basi hutoelewa hio harufu
Ile ngoma ilikua ikikaangwa nyumba hii inasikika within 1km radius