Kitoto cha 2006 kimegonga mwamba kwa Likud

Kwa sababu ni mdogo Asilimia kubwa wanakuwaga na nyota kwa sababu wanakuwa hawajachafuliwa sana. Wewe hapo unaweza kuwa na ma ex 20 na kila mtu amekuachia kivuli chake kwako na kila kivuli kinakuwa kimebeba some negative energy so I cannot risk my vibration
Ahaaa mbona dogo ulimpa kabla hujamuonja?naomba jama
 
Kitoto kidogo kikinipenda naona kama mkosi vile.

Safari moja tunaenda kuoa KATESHI, tunamsindikiza jamaa yangu.
Ndani ya coaster tuliyokodi, binti kakaa pembeni yangu, kana miaka kayi ya 19 mpaka 21 hivi kwa makadirio, vijana mule wameshajigonga gonga sana, mixer kumnunulia vitu tofauti, muhuni wa zamani sina habari, nasikiliza ngoma zangu pendwa.
Kuanzia dar kalionesha namna fulani nikapuuzia, ila kuanzia moro, nikaona huyu binti yupo serious, mtoto ANAUTAKA, kipande cha DOM kuitafuta KATESHI aisee alizidisha.
Tkafika kateshi ila kulivyokucha tu, nikaamka nae, nikamuita nikamuweka chini, nikaanza kumpanga aache michezo yake ya kiduwanzi, mie sio rika lake na kwangu hakuna atapata zaidi nitamtumia tumia kisha nitamdump,ukizingatia mina mke na mengine memgi, nikamwambia yupo kwenye peak ya mwanamke, kwenye ule umri ambao mwanamke ana thamani sana hivyo ajichunge, nikampa sana elimu ya utambuzi, kama dk 20,30 hivi, kakanielewa.
Vijana wananishangaa inakuwaje nauacha mzigo hivi hivi.

Mimi na vitoto ni tofauti...
 
DUH! WE JAMAA MSHIRIKINA AISEE, ALIYEKWAMBIA BINADAMU ANATOA RIZIKI NANI?
 
U
Bao miezi michache utimize miaka 40,ila Bado unawaza na kufanya ujinga na unatumia muda mwingi kuwasilana na wajinga
 
Ofcourse wewe ni pedophile uliyejificha kwenye kivuli cha nyota na imani nyingine za kishirikina, ninyi ndio mnaowaharibu hawa mabinti wadogo kwa kutake advantage ya shida zao halafu baadaye mnakuja kuwatukana wanawake kuwa hawafai kuolewa maana wametumika sana, hebu tupe hilo andiko lililosema bikira maria alizaa katika umri huo na ni wapi paliposema kuwa mfalme suleiman alitembea na vibinti vidogo kwa ajili ya nyota hebu acha kutafuta namna ya kuhalalisha upumbavu wako
 
Tutoto twa buku mbili akili ya mahusiano hatuna kabisa.
Ukiamua kutupalaza kwa vocha tu unavila vingi sana
 
Kwa kwwli, its amazing story, hizo ndo akili za wakina mbowe umeongoza chama kwa miaka 20, una mbunge moja tu una umri wa miaka 65. bado unataka kuongoza chama hicho hicho mpaka kikose hata mbunge moja.
Comment ya kufungia mwaka hii, waione chawa wa Mbowe.
 
Kwa hali hii Dira ya Taifa ya 2050 itaendelea kuwa ndoto tu.
 
Mwamba umetisha sana.
 
Jipatie kitoto version ya mwaka 2000 - 2006, tulia ule maisha. Mimi ninacho kimoja
 
Jipatie kitoto version ya mwaka 2000 - 2006, tulia ule maisha. Mimi ninacho kimoja
hivi vitoto vya 2000-2006 havina maneno, wivu wala hiyana, km una mke kwao poa twende pamoja moaka siku kakiosta mwenza unakaa pembeni
 

Attachments

  • IMG-20241229-WA0039.jpg
    111.1 KB · Views: 3
Familia naomba kufahamu hiyo laini ya halotel yenye vifurushi vya chini inaitwaje
Hii lain hata sijui inaitwaje lakini kuna mtu aliniuziaga ina vifurushi vya bei rahisi sana.,
eF10 unapata GB18 mwezi mzima na Bonus Gb2 Almost kama 20Gb kwa 10k
 
Hii lain hata sijui inaitwaje lakini kuna mtu aliniuziaga ina vifurushi vya bei rahisi sana.,
eF10 unapata GB18 mwezi mzima na Bonus Gb2 Almost kama 20Gb kwa 10k
Naitamani hio laini Daah , Yaani natumiaga bando vibaya kinooma...si unafanya mawasiliano kawaida yaani kupiga,kupokea n.k
Hii lain hata sijui inaitwaje lakini kuna mtu aliniuziaga ina vifurushi vya bei rahisi sana.,
eF10 unapata GB18 mwezi mzima na Bonus Gb2 Almost kama 20Gb kwa 10k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…