MankaM
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 9,448
- 3,065
Habarini za masiku mengi wapendwa natumaini mko vizuri...
Madaktari na wadau wa hili jukwaa naombeni msaada wenj katika hili.....
Mwanangu anasumbuliwa na kitovu.. tatizo ni kwamba kinatoa maji ambapo huambatana na maumivu jaman mtoto anapata shida sana...... akianza kulia ndio kabisaaa maana kinakuwa kama kimetuna au kuvimba nahisi hii pia humuongezea maumivu ... tatizo hili huja na kupotea, mara ya mwisho kusumbuliwa na tatizo hili ilikuwa mwaka jana mwezi wa 11 na dawa ambayo tunaitumia ni Ampliclox huchanganywa na maji na kumdondoshea sehemu ya kitovu ambapo baada ya siku tatu kinakauka na anakuwa akiendelea vizuri ......
sasa hii hali imejirudia tena jana baada ya kwenda hosptali tukapewa dawa ile ile......
Wapendwa nahitaji kujua kwa undani tatizo hili la kitovu kwa watoto wadogo husababishwa na nini hasa?
Na Ipi ni dawa nzuri kuweza kufanya kitovu kikauke moja kwa moja?
Nini kinasababisha kitovu kisikauke???
maana kila mtu anaongea lake wengine wanahusisha na mambo ya kiimani sasa hapo ndio nachoka kabisaaaa. madaktar nipeni mwangaza katika hili
Madaktari na wadau wa hili jukwaa naombeni msaada wenj katika hili.....
Mwanangu anasumbuliwa na kitovu.. tatizo ni kwamba kinatoa maji ambapo huambatana na maumivu jaman mtoto anapata shida sana...... akianza kulia ndio kabisaaa maana kinakuwa kama kimetuna au kuvimba nahisi hii pia humuongezea maumivu ... tatizo hili huja na kupotea, mara ya mwisho kusumbuliwa na tatizo hili ilikuwa mwaka jana mwezi wa 11 na dawa ambayo tunaitumia ni Ampliclox huchanganywa na maji na kumdondoshea sehemu ya kitovu ambapo baada ya siku tatu kinakauka na anakuwa akiendelea vizuri ......
sasa hii hali imejirudia tena jana baada ya kwenda hosptali tukapewa dawa ile ile......
Wapendwa nahitaji kujua kwa undani tatizo hili la kitovu kwa watoto wadogo husababishwa na nini hasa?
Na Ipi ni dawa nzuri kuweza kufanya kitovu kikauke moja kwa moja?
Nini kinasababisha kitovu kisikauke???
maana kila mtu anaongea lake wengine wanahusisha na mambo ya kiimani sasa hapo ndio nachoka kabisaaaa. madaktar nipeni mwangaza katika hili