Kitu cha ajabu ulichokuta kwa rafiki/jamaa!

Kitu cha ajabu ulichokuta kwa rafiki/jamaa!

Kuna mwana mwingine nimekuta ana chumba mbili ndani ya master, nyingine amehifadhi jeneza jipya na suti mpya, nikamuuliza what's the meaning of this, akajibu anaandaa makao yake na hataki kuwapa ndugu na jamaa usumbufu wa gharama akiondoka duniani
Sio kweli
 
Mwanangu kanyunyu WA manzese


Analalia godoro tupu lenye mavono bila shuka na analala na viatu

Sufuria anayopikia ndo anatumia Kama kopo la kuogea

Ana vijiko vya mbao vitatu vile ambavyo upareni wanakulaga navyo makande nadhani wengi mnavifahamu vyake Vina almost miaka mpaka vimebadilika rangi

Mwana anaishi na kuku ndani hana banda

Mashada ya maua wanayotumia kuzikia wakirsto mwana baada ya mazishi anachukua yaani anaiba kupambia kwake


Mlango wa kuingia kwake umeandikwa juu la III B Nadhan aliuchomoa (aliiba) shule
[emoji16][emoji16][emoji16] hii mbona kama chai
 
Mwanangu kanyunyu WA manzese


Analalia godoro tupu lenye mavono bila shuka na analala na viatu

Sufuria anayopikia ndo anatumia Kama kopo la kuogea

Ana vijiko vya mbao vitatu vile ambavyo upareni wanakulaga navyo makande nadhani wengi mnavifahamu vyake Vina almost miaka mpaka vimebadilika rangi

Mwana anaishi na kuku ndani hana banda

Mashada ya maua wanayotumia kuzikia wakirsto mwana baada ya mazishi anachukua yaani anaiba kupambia kwake


Mlango wa kuingia kwake umeandikwa juu la III B Nadhan aliuchomoa (aliiba) shule
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilipowatembelea baadhi ya marafiki zangu kuna vitu vya ajabu nimekutana nazo. Vitu hivi vinachekesha na vingine vinaogofya ama kutisha.

Kuna mmoja nilikuta geto yake ana kitanda cha hospital

Jemba mwingine nilikuta glass 20 za baa geto kwake.

Hebu share nawe ulichokuta kwa rafiki yako ambayo ni amazing, wonderful and inspiring.
Mwamba nilimkuta ana mkungu wa ndizi......wahaya shikamore
 
Mwanangu kanyunyu WA manzese


Analalia godoro tupu lenye mavono bila shuka na analala na viatu

Sufuria anayopikia ndo anatumia Kama kopo la kuogea

Ana vijiko vya mbao vitatu vile ambavyo upareni wanakulaga navyo makande nadhani wengi mnavifahamu vyake Vina almost miaka mpaka vimebadilika rangi

Mwana anaishi na kuku ndani hana banda

Mashada ya maua wanayotumia kuzikia wakirsto mwana baada ya mazishi anachukua yaani anaiba kupambia kwake


Mlango wa kuingia kwake umeandikwa juu la III B Nadhan aliuchomoa (aliiba) shule
La III B[emoji38][emoji38][emoji38]
 
kujua anavaliana kufuli na demu wake hii ilinipa maswali sana na anapenda mwenyewe
 
Kuna nafiki YANGU nilimkuta kafuga nyani jike, na anaishi naye ndani kwakweli nilimshangaa sana,
 
Acha tu! Nilikuta matunguli, mkia wa ng'ombe,ubuyu gunia zima na maji ya rangi rangi, mwisho wa siku ananiambia tunywe hayo maji aliyochanganya na ubuyu ili kulinda urafiki wetu huku ananizungushia huo mkia wa ng'ombe kichwani...aisee bahati yangu imani hizo zimenipita kando.
Are you serious?Uliendeleza urafiki?

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
Mwanangu kanyunyu WA manzese


Analalia godoro tupu lenye mavono bila shuka na analala na viatu

Sufuria anayopikia ndo anatumia Kama kopo la kuogea

Ana vijiko vya mbao vitatu vile ambavyo upareni wanakulaga navyo makande nadhani wengi mnavifahamu vyake Vina almost miaka mpaka vimebadilika rangi

Mwana anaishi na kuku ndani hana banda

Mashada ya maua wanayotumia kuzikia wakirsto mwana baada ya mazishi anachukua yaani anaiba kupambia kwake


Mlango wa kuingia kwake umeandikwa juu la III B Nadhan aliuchomoa (aliiba) shule
Nimecheka af nikacheka tena

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
Mwanangu kanyunyu WA manzese


Analalia godoro tupu lenye mavono bila shuka na analala na viatu

Sufuria anayopikia ndo anatumia Kama kopo la kuogea

Ana vijiko vya mbao vitatu vile ambavyo upareni wanakulaga navyo makande nadhani wengi mnavifahamu vyake Vina almost miaka mpaka vimebadilika rangi

Mwana anaishi na kuku ndani hana banda

Mashada ya maua wanayotumia kuzikia wakirsto mwana baada ya mazishi anachukua yaani anaiba kupambia kwake


Mlango wa kuingia kwake umeandikwa juu la III B Nadhan aliuchomoa (aliiba) shule
😂😂😂😂😂😂 nmecheka sana... ngoja nilale sasa daah!!!
 
nilienda mara field nikasema nikamcheki mwanangu mmoja nimesoma nae o level.

kwenda gheto kwake anafuga kunguru
 
Miaka ya nyuma nilienda ungalimited mitaa ya cheka un'gatwe .geto nililofikia ni room moja ndani zinaishi familia tatu tofauti.kuna kitanda na magoro mawili.kwenye kitanda analala mwenyeji wangu na demu wake..

Godoro la Kwanza wanalala masela wawili na godoro la pili analala jamaa mwingine na demu wake..

Mazingira yaliniogopesha ikabidi nitoke mbio .toka hapo nikakoma kutembelea mazingira ya uswahilinj
 
jamaa nilimkuta na chupi ya demu getto na nafahamu kabisa hana demu ikabidi nimbane ndio akasema kwamba ameiiba bafuni (anaishi nyumba ya kupanga na kuna wanawake) hivo basi huwa anaitumia kwenye shughuli pendwa za kile chama cha chaputa
Sasa mwenye chupi atakua sijui anahisi kaweka chupi yake jaman
 
Back
Top Bottom