Kitu cha ajabu ulichokuta kwa rafiki/jamaa!

Kitu cha ajabu ulichokuta kwa rafiki/jamaa!

Mwanangu kanyunyu WA manzese


Analalia godoro tupu lenye mavono bila shuka na analala na viatu

Sufuria anayopikia ndo anatumia Kama kopo la kuogea

Ana vijiko vya mbao vitatu vile ambavyo upareni wanakulaga navyo makande nadhani wengi mnavifahamu vyake Vina almost miaka mpaka vimebadilika rangi

Mwana anaishi na kuku ndani hana banda

Mashada ya maua wanayotumia kuzikia wakirsto mwana baada ya mazishi anachukua yaani anaiba kupambia kwake


Mlango wa kuingia kwake umeandikwa juu la III B Nadhan aliuchomoa (aliiba) shule
[emoji28][emoji119]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Hizi chai zinachekesha sana
 
IMG_20200902_080158_339.jpg
 
Back
Top Bottom