Sio kweliKuna mwana mwingine nimekuta ana chumba mbili ndani ya master, nyingine amehifadhi jeneza jipya na suti mpya, nikamuuliza what's the meaning of this, akajibu anaandaa makao yake na hataki kuwapa ndugu na jamaa usumbufu wa gharama akiondoka duniani
[emoji16][emoji16][emoji16] hii mbona kama chaiMwanangu kanyunyu WA manzese
Analalia godoro tupu lenye mavono bila shuka na analala na viatu
Sufuria anayopikia ndo anatumia Kama kopo la kuogea
Ana vijiko vya mbao vitatu vile ambavyo upareni wanakulaga navyo makande nadhani wengi mnavifahamu vyake Vina almost miaka mpaka vimebadilika rangi
Mwana anaishi na kuku ndani hana banda
Mashada ya maua wanayotumia kuzikia wakirsto mwana baada ya mazishi anachukua yaani anaiba kupambia kwake
Mlango wa kuingia kwake umeandikwa juu la III B Nadhan aliuchomoa (aliiba) shule
Haaaaa Haaaaa [emoji23] jamani sio kweli, haaaa [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanangu kanyunyu WA manzese
Analalia godoro tupu lenye mavono bila shuka na analala na viatu
Sufuria anayopikia ndo anatumia Kama kopo la kuogea
Ana vijiko vya mbao vitatu vile ambavyo upareni wanakulaga navyo makande nadhani wengi mnavifahamu vyake Vina almost miaka mpaka vimebadilika rangi
Mwana anaishi na kuku ndani hana banda
Mashada ya maua wanayotumia kuzikia wakirsto mwana baada ya mazishi anachukua yaani anaiba kupambia kwake
Mlango wa kuingia kwake umeandikwa juu la III B Nadhan aliuchomoa (aliiba) shule
Mwamba nilimkuta ana mkungu wa ndizi......wahaya shikamoreNilipowatembelea baadhi ya marafiki zangu kuna vitu vya ajabu nimekutana nazo. Vitu hivi vinachekesha na vingine vinaogofya ama kutisha.
Kuna mmoja nilikuta geto yake ana kitanda cha hospital
Jemba mwingine nilikuta glass 20 za baa geto kwake.
Hebu share nawe ulichokuta kwa rafiki yako ambayo ni amazing, wonderful and inspiring.
La III B[emoji38][emoji38][emoji38]Mwanangu kanyunyu WA manzese
Analalia godoro tupu lenye mavono bila shuka na analala na viatu
Sufuria anayopikia ndo anatumia Kama kopo la kuogea
Ana vijiko vya mbao vitatu vile ambavyo upareni wanakulaga navyo makande nadhani wengi mnavifahamu vyake Vina almost miaka mpaka vimebadilika rangi
Mwana anaishi na kuku ndani hana banda
Mashada ya maua wanayotumia kuzikia wakirsto mwana baada ya mazishi anachukua yaani anaiba kupambia kwake
Mlango wa kuingia kwake umeandikwa juu la III B Nadhan aliuchomoa (aliiba) shule
Hii hawajui tu wanaHii iko sana kitaa uswahilini, ukitoka nje usiku kwenda kukojoa huku nyuma wana wanahamisha kinachobebeka fasta
Sio Idea ya gashi wake!?kujua anavaliana kufuli na demu wake hii ilinipa maswali sana na anapenda mwenyewe
kwakweli sikumpatia jibu huyo mwanaSio Idea ya gashi wake!?
Maana anajua ukigonga ile ...ukikutana na vichenchede hivui.. kuepuka soni
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
People...kwakweli sikumpatia jibu huyo mwana
Are you serious?Uliendeleza urafiki?Acha tu! Nilikuta matunguli, mkia wa ng'ombe,ubuyu gunia zima na maji ya rangi rangi, mwisho wa siku ananiambia tunywe hayo maji aliyochanganya na ubuyu ili kulinda urafiki wetu huku ananizungushia huo mkia wa ng'ombe kichwani...aisee bahati yangu imani hizo zimenipita kando.
Nimecheka af nikacheka tenaMwanangu kanyunyu WA manzese
Analalia godoro tupu lenye mavono bila shuka na analala na viatu
Sufuria anayopikia ndo anatumia Kama kopo la kuogea
Ana vijiko vya mbao vitatu vile ambavyo upareni wanakulaga navyo makande nadhani wengi mnavifahamu vyake Vina almost miaka mpaka vimebadilika rangi
Mwana anaishi na kuku ndani hana banda
Mashada ya maua wanayotumia kuzikia wakirsto mwana baada ya mazishi anachukua yaani anaiba kupambia kwake
Mlango wa kuingia kwake umeandikwa juu la III B Nadhan aliuchomoa (aliiba) shule
ππππππ nmecheka sana... ngoja nilale sasa daah!!!Mwanangu kanyunyu WA manzese
Analalia godoro tupu lenye mavono bila shuka na analala na viatu
Sufuria anayopikia ndo anatumia Kama kopo la kuogea
Ana vijiko vya mbao vitatu vile ambavyo upareni wanakulaga navyo makande nadhani wengi mnavifahamu vyake Vina almost miaka mpaka vimebadilika rangi
Mwana anaishi na kuku ndani hana banda
Mashada ya maua wanayotumia kuzikia wakirsto mwana baada ya mazishi anachukua yaani anaiba kupambia kwake
Mlango wa kuingia kwake umeandikwa juu la III B Nadhan aliuchomoa (aliiba) shule
Sasa mwenye chupi atakua sijui anahisi kaweka chupi yake jamanjamaa nilimkuta na chupi ya demu getto na nafahamu kabisa hana demu ikabidi nimbane ndio akasema kwamba ameiiba bafuni (anaishi nyumba ya kupanga na kuna wanawake) hivo basi huwa anaitumia kwenye shughuli pendwa za kile chama cha chaputa