Wasaidizi wako hao mkuuKila nikienda ghettoni kwa demu wangu nakuta matango mawili kwenye friji....miezi nenda miezi rudi hayapungui idadi Sasa huwa najiuliza aliyanunua ya kazi gani Kama siku zote hizo hayali?? And Inshort kwa ninavyomfahamu demu wangu sio mpenzi wa matunda hata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]people who have once visited me, they have a tale to tell.
Sasa mwenye chupi atakua sijui anahisi kaweka chupi yake jaman
Huu ni umbeaNilipowatembelea baadhi ya marafiki zangu kuna vitu vya ajabu nimekutana nazo. Vitu hivi vinachekesha na vingine vinaogofya ama kutisha.
Kuna mmoja nilikuta geto yake ana kitanda cha hospital
Jemba mwingine nilikuta glass 20 za baa geto kwake.
Hebu share nawe ulichokuta kwa rafiki yako ambayo ni amazing, wonderful and inspiring.
Ndiyo nini hiyo?Kuna geto la chalii yangu niliwahi kuta dildo[emoji848]
Ni demu wako uyo mshikaji au?jamaa nilimkuta na chupi ya demu getto na nafahamu kabisa hana demu ikabidi nimbane ndio akasema kwamba ameiiba bafuni (anaishi nyumba ya kupanga na kuna wanawake) hivo basi huwa anaitumia kwenye shughuli pendwa za kile chama cha chaputa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna geto la chalii yangu niliwahi kuta dildo[emoji848]
Ana bundle anashindwa hata kugoogleUpo dunia gani mkuu[emoji1787]
Mwenyewe imenibidi nimuulize ndugu "Google", nilichokutana nacho...Astaghfirullah!Dildo ndio kitu gani?
ni mungu na watu wake mkuu sikutaka kuingilia sana uhuru wa mtu wanasema ni kosa kisheriaπPeople...
Mi nigemuuliza..lazima
Namna gani kamanda... Mbona umepigilia vitu vya WP
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
πni mungu na watu wake mkuu sikutaka kuingilia sana uhuru wa mtu wanasema ni kosa kisheriaπ
Daaaah nmechekaajamaa nilimkuta na chupi ya demu getto na nafahamu kabisa hana demu ikabidi nimbane ndio akasema kwamba ameiiba bafuni (anaishi nyumba ya kupanga na kuna wanawake) hivo basi huwa anaitumia kwenye shughuli pendwa za kile chama cha chaputa
kwakweli
Mimi kuna mtu alitakaga kuniuzia friji la cocaKuna mahali nilisoma, kuna mtu alienda getto kwa mshikaji akakuta jamaa ana frig la Pepsi chumbani.