Kitu cha ajabu ulichokuta kwa rafiki/jamaa!

Wasaidizi wako hao mkuu
 
Gheto kulikuwa kumejaa nyaya kila mahali mpaka nikahis naweza pigwa shoti saa yoyote
 
Huu ni umbea
 
jamaa nilimkuta na chupi ya demu getto na nafahamu kabisa hana demu ikabidi nimbane ndio akasema kwamba ameiiba bafuni (anaishi nyumba ya kupanga na kuna wanawake) hivo basi huwa anaitumia kwenye shughuli pendwa za kile chama cha chaputa
Ni demu wako uyo mshikaji au?
 
Nilienda kwa mwanangu mmja
Nikakuta biblia agano jipya 9
Na agano la kale 12

Wala sikutaka kuuliza za nani!!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
jamaa nilimkuta na chupi ya demu getto na nafahamu kabisa hana demu ikabidi nimbane ndio akasema kwamba ameiiba bafuni (anaishi nyumba ya kupanga na kuna wanawake) hivo basi huwa anaitumia kwenye shughuli pendwa za kile chama cha chaputa
Daaaah nmechekaa
 
kuna jamaa mwingine tumejuana ukubwani kwao makao makuu yeye anafuga fisi
na sijui ni wanini
 
Kuna mahali nilisoma, kuna mtu alienda getto kwa mshikaji akakuta jamaa ana frig la Pepsi chumbani.
Mimi kuna mtu alitakaga kuniuzia friji la coca
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…