Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salute wakuu, mie mpaka leo ninakuna kichwa, ni kitu gani JPM alitumia kuzima maandamano yaliyokuwa yameitishwa na CHADEMA baada ya uchaguzi wa 2015 maarufu kwa jina la UKUTA?, kipindi kile JPM ndio tu alikuwa ameapishwa, hata baraza la Mawaziri alikuwa bado hajateua. Je ni nguvu gani ya kiupako huyu mwamba alikuwa nayo?.
Nakumbuka kipindi cha kumalizia utawala wa Jakaya Kikwete ilikuwa ni shida ,pamoja na Kikwete kuzuia maandamano lkn yalikuwa yanafanyika,mpaka ikapelekea watu kufa kwa kulipuliwa kwenye mkutano na maandamano Arusha, pia Mwangosi alikufa kwa kulipuliwa pia kwenye maandamano, je kwanini JPM yeye alitoa tamko tu na ukuta ikanywea?,
Je, ukuta walimwogopa JPM au walikuwa wanatingisha kiberiti ili kuona kama kimejaa?
Lkn pia kwanini tamko lake tu lilinyamazisha majambazi waliokuwa wanavamia mpaka mchana?, mpaka Bank na vituo vya polisi vilikuwa vinavamiwa mchana kweupe?,
Hata mauaji ya albino yalikoma!,
Ajali za ovyo ovyo zilikoma,
Je, Alikuwa na upako wa kiutawala kutoka kwa Mungu!?, au ilikuwa ni nini?!.
KARIBUNI, mapovu yanaruhusiwa kwa wale wenye hilka hiyo,na hata wenye afya mbovu za akili,
Mirembe haijafungw,na bado wanapokea wagonjwa,
Watanzania wanajielewa sana hawezi kukubali kufanya maandamano ya mtu amejificha Ubelgiji
Mkuu soma mada uielewa,ndio uchangie,ukuta imeitishw tu baada ya kutangazw jpm kashinda,chadema ikasema tarehe moja itakuw ni siku ya maandamano ya ukuta.niambie kipindi kile bunduki gn alilia ili kuzuia maandamano?
Japo nilikuwa kijana mdogo sana hata sijaanza Darasa la kwanza ila kumbukumbu zangu zinaniambia kuwa kwa bahati mbaya sana ratiba ya maandamano ya UKUTA ziliingilana na ratiba ya kufanya "Fatiki" (usafi) na wale jamaa wa bakabaka bila kusahau barabara zilikuwa ziko "Busy" maana wale jamaa wa wanaovaa kofia nyekundu walikuwa wakipiga "Route March" na mchakamchaka nchi nzima.
Ila pia huenda aliyekabidhiwa jukumu la kufanikisha UKUTA unatokea alikula pesa ya Saruji.
Vp kuhusu majambazi waliokuwa wanavamia bank na vituo vya polisi?, wao waligwaya nn?
Polisi wasio na hatia waliuliwa ili kuaminisha umma kuwa wauaji walipora silaha za kutumia kwenye maandamano. Hivyo magu akavalisha hadi wanajeshi sare za polisi kutisha raia.Salute wakuu, mie mpaka leo ninakuna kichwa, ni kitu gani JPM alitumia kuzima maandamano yaliyokuwa yameitishwa na CHADEMA baada ya uchaguzi wa 2015 maarufu kwa jina la UKUTA?, kipindi kile JPM ndio tu alikuwa ameapishwa, hata baraza la Mawaziri alikuwa bado hajateua. Je ni nguvu gani ya kiupako huyu mwamba alikuwa nayo?.
Nakumbuka kipindi cha kumalizia utawala wa Jakaya Kikwete ilikuwa ni shida ,pamoja na Kikwete kuzuia maandamano lkn yalikuwa yanafanyika,mpaka ikapelekea watu kufa kwa kulipuliwa kwenye mkutano na maandamano Arusha, pia Mwangosi alikufa kwa kulipuliwa pia kwenye maandamano, je kwanini JPM yeye alitoa tamko tu na ukuta ikanywea?,
Je, ukuta walimwogopa JPM au walikuwa wanatingisha kiberiti ili kuona kama kimejaa?
Lkn pia kwanini tamko lake tu lilinyamazisha majambazi waliokuwa wanavamia mpaka mchana?, mpaka Bank na vituo vya polisi vilikuwa vinavamiwa mchana kweupe?,
Hata mauaji ya albino yalikoma!,
Ajali za ovyo ovyo zilikoma,
Je, Alikuwa na upako wa kiutawala kutoka kwa Mungu!?, au ilikuwa ni nini?!.
KARIBUNI, mapovu yanaruhusiwa kwa wale wenye hilka hiyo,na hata wenye afya mbovu za akili,
Muondoe huyo mwamba Bora sokoinne au Abdul Sykes. Mwamba gani ana ubaguzi wa wazi. Usiwabomolee nyumba watu wa Mwanza walinichagua ila kimara bomoa. Huyo ni Rais kweli. Tuwe wakweli.Yule mwamba na Nyerere ndio wanaume wa nchi ya Tanzania
Muoga aliyezuia maandamano au muoga ni yule aliyezuiwa kuandamana na akaufyata kweli
bila ya JPM leo hii Chadema wasingekuwa kwny TCD meza moja na ZittoRest In Peace The late President JPM.
Back to the point; Magufuli alijua kuongea Lugha inayoeleweka kwa wapiga kura wake.
asali ni hatare kwa uhuru wa habari kuliko risasiKuna aliyekuwa anatumia mtutu wa bunduki kumzidi yeye?
Lkn ndani ya mwezi mmoja ya utawala wa jpm? Kabla hata hajateua baraza la mawaziri,?. Kikwete aliua lkn chadema ndio ilipamba moto.
Na kikwete alishindwa kwa katiba ipi?, au swaum inakusumbua
Ukiwa dictata mfumo wote unafuata hivyo , simple kupoteza ,kupiga risasi watu inakuwa kawaidaSalute wakuu, mie mpaka leo ninakuna kichwa, ni kitu gani JPM alitumia kuzima maandamano yaliyokuwa yameitishwa na CHADEMA baada ya uchaguzi wa 2015 maarufu kwa jina la UKUTA?, kipindi kile JPM ndio tu alikuwa ameapishwa, hata baraza la Mawaziri alikuwa bado hajateua. Je ni nguvu gani ya kiupako huyu mwamba alikuwa nayo?.
Nakumbuka kipindi cha kumalizia utawala wa Jakaya Kikwete ilikuwa ni shida ,pamoja na Kikwete kuzuia maandamano lkn yalikuwa yanafanyika,mpaka ikapelekea watu kufa kwa kulipuliwa kwenye mkutano na maandamano Arusha, pia Mwangosi alikufa kwa kulipuliwa pia kwenye maandamano, je kwanini JPM yeye alitoa tamko tu na ukuta ikanywea?,
Je, ukuta walimwogopa JPM au walikuwa wanatingisha kiberiti ili kuona kama kimejaa?
Lkn pia kwanini tamko lake tu lilinyamazisha majambazi waliokuwa wanavamia mpaka mchana?, mpaka Bank na vituo vya polisi vilikuwa vinavamiwa mchana kweupe?,
Hata mauaji ya albino yalikoma!,
Ajali za ovyo ovyo zilikoma,
Je, Alikuwa na upako wa kiutawala kutoka kwa Mungu!?, au ilikuwa ni nini?!.
KARIBUNI, mapovu yanaruhusiwa kwa wale wenye hilka hiyo,na hata wenye afya mbovu za akili,
Kama nani?,seth na lugemalila uliwakamata wewe?
Jpm amewahi kuua hata mwandamanaji mmoja?,kama aliweza kwa kutumia katiba mbovu,na kikwete alishindwa kwa katiba ipi?, na kikwete aliua waandamanaji,na sio mala moja,
Na waliokuwa wanavamia bank mchana kweupe,na waliokuwa wanavamia vituo vya polisi nao waliogopa nn? Na waliokuwa wanachinja albino je?