Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo Lugha walioielewa wapiga kura wake.Lugha gani?. Msichague Upinzani sitawaletea maendeleo.
bila ya JPM leo hii Chadema wasingekuwa kwny TCD meza moja na Zitto
"Kuna watu wanasema watamwaga damu! Wamwage hata mkojo tu waone kitakachowatokea" JPMView attachment 2570194
Hao sio wapiga kura Bali mazezeta.Ndiyo Lugha walioielewa wapiga kura wake.
Mtazamo wako hauathiri uhalisia kwa namna iwayo yote.Hao sio wapiga kura Bali mazezeta.