Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana mami, sanaaaaaaaaaDunia ina vitu vingi vya ajabu
Amejiongeza na biashara ya kitofauti, inapendeza.Kuna jamaa anauza panya na anafuga mende for sale, Panya mmoja anaenda mpaka Tsh25,000.
Wateja wake mara nyingi ni Science Labs hasa mashuleni kipindi cha mitihani.
Anapiga pesa maana ameshajitengenezea clients.
Hata sishangai, hawa watu wenye pesa wanapenda vitu vya ajabu na kuna wengine wanapenda kujaribu mambo mageni na pesa inawawezesha.Kuna yule dada Iryn eti anafanya kazi za massage kwa kutumia mtandao maalum ambao kujiunga amelipa $10,000+ na wateja ni foreigners.
Kuishi kwingi ni kuona mengi.Maajabu sana
Umeona kama mimi kuna watu wanaandaliwa kupigwaView attachment 3253833
Shukurani sana kwa chai ya usiku
Hata sujui watu wanaaminije hizi mambo!Mwamposa kuuza mafuta ya ubuyu na kusema ni ya upako
Ni uchawi ni nini?Sana mami, sanaaaaaaaaa
Ni harakati za kujipa raha tu, wakiwa wanajichukulia sheria mkononi eti wananusa nguo chafu wapate msisimko 🤣 🤣 🤣 🤣Ni uchawi ni nini?
ChaiMimi niliona mfanyakazi mwenzangu analipwa $300 (750,000) kumtumia mwanaume soksi chafu alizokua amezivaa. Huyo mbaba alikua anapenda jasho la soksi za wanawake. Baada ya miezi kadhaa huyo dada aliacha kazi ili full time awe anauza nguo zenye jasho na ambazo ameshazivaa sharti la wanunuzi ni lazima ziwe chafu / zimevaliwa. Mara ya mwisho nimeongea naye anatengeneza $4000 (10,000,000) kwa mwezi.
Haya wenzangu, vitu gani vya ajabu mlishawahi kujionea?
View attachment 3253752
Dah,Mimi niliona mfanyakazi mwenzangu analipwa $300 (750,000) kumtumia mwanaume soksi chafu alizokua amezivaa. Huyo mbaba alikua anapenda jasho la soksi za wanawake. Baada ya miezi kadhaa huyo dada aliacha kazi ili full time awe anauza nguo zenye jasho na ambazo ameshazivaa sharti la wanunuzi ni lazima ziwe chafu / zimevaliwa. Mara ya mwisho nimeongea naye anatengeneza $4000 (10,000,000) kwa mwezi.
Haya wenzangu, vitu gani vya ajabu mlishawahi kujionea?
View attachment 3253752
Ya leo ya maziwa, nikupe a cup.Chai
Mamaaa kazi kweli kweliNi harakati za kujipa raha tu, wakiwa wanajichukulia sheria mkononi eti wananusa nguo chafu wapate msisimko 🤣 🤣 🤣 🤣
Mbona hiyo kawaida kama unamtandoa na una watu ambao ni potential watu unaweza kuwacharge hela unayotaka..Umenikumbusha yule dada tajiri kwenye story ya Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada wa ajabu from INSIDER MAN
Kuna yule dada Iryn eti anafanya kazi za massage kwa kutumia mtandao maalum ambao kujiunga amelipa $10,000+ na wateja ni foreigners.