The Happiness
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 6,989
- 45,411
Kushangilia Yanga
Kufanya mapenzi dakika2
Kupiga pcha kwenye cm yangu
Kuvuta bangi
Kumlilia mwanamke
Kuipenda ccm
Kumpenda jiwe
Kufua boxer
Kumnyonya mwanamke k
Sababu za kua marafiki ni zipi?Ebo!
Mkuu,
Naomba tuwe marafiki!
Nishayajua babe,Khaa jamani[emoji16][emoji16] kuna mambo kama mawili tunafanana kwa kiasi fulani
Sent using Jamii Forums mobile app
LGBT.Sijawahi kusex na mwanaume na haitakuja kutokea,[emoji777]
Sijawahi kwenda kiwanja chochote cha mpira kushangilia japo rafiki zangu wengi ni wana michezo, [emoji2359]
Sijawahi kuomba mtu nisiyemjua pesa,[emoji724]
Sijawahi kukataliwa nikitongoza, [emoji23]
Nafuriwa na wfeKhaa.! Kwahyo boxer ukishavaa Unatupa?[emoji51]
Sina kwa sababu sipendi. Ningekuwa napenda ningenunua hata mia.
Duh basi we kiboko..[emoji16][emoji16][emoji16] nimecheka maana mimi kulog in tu hapa nimetumia simu ya mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hatutofautiani. Me nlikula mwaka jana, ila niliona ni experience nzuri mtu unaenjoy na kufeel special sema ndo hivyo kitu mazoea.Mimi pia, huwa nakumbuka kwa maneno tu. Keki ya kwanza nimekula mwaka juzi alininunulia mwanaJf
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushamba tu, muone! ππββοΈπββοΈMimi pia, huwa nakumbuka kwa maneno tu. Keki ya kwanza nimekula mwaka juzi alininunulia mwanaJf
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hatutofautiani. Me nlikula mwaka jana, ila niliona ni experience nzuri mtu unaenjoy na kufeel special sema ndo hivyo kitu mazoea.