ππππ sio kama unadidimia chiniSidhani kama nitakuja kuweza mimi.....Naonaga kama shingo inapinda hiviπ
[emoji2380][emoji2380]LGBT.
Tangu ianzishwe[emoji3]Tangu mwanzo au tangu mwenyekiti amilikishwe?
Mbona umenisindikiza na kicheko Kasie.
Unadhani Mkuu sijawahi tamani kupigana aisee.Unahisi Kila mtu atakundunda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weeee!! Nshazeeka hapa nadhani kuanza kucheza na hayo maji ni kujitafutia kuzama tu sasa. π€£π€£Pole jamani My Dada..
Kuogelea raha mno.. halafu mimi nimejua kuogelea pasipo hata kufundishwa..
Itabidi nikufundishe..
Mwanamke anatoka na kanga mbili kwenda bombani, mwanaume na kibukta/kaptula kifua wazi anasalimianana na wapita njiaSijawahi piga mswaki nje ya nyumba!..zile za kibongobongo!
Β°Sijawahi ipenda CCM
ππPolee
Ahsante Mkuu.πππ
Pole sana
Vp hujatamani siku moja uogelee?
Mkuu, subiri deathday party. .Birthday part, sijawahi kabisa kufanya wala kufanyiwa.
Hata ile watu kuniwish, ni mbinde.
Wanadai bila chura hii inakuwa ni sawa na umejifunika shuka
Ulimsamehe?Uwiii!! Hadi dada yako nimekushinda mana kimtaani mtaani nliwahi kupigana na mvulana kipindi hicho niko mdogo wee alinidunda nakumbuka kulikuwa na mtaro mdogo tu pembeni akanidumbukiza humo nikaanza kulia hadi dada zangu wakaja kunitowa mana sikupigana tena ikabakia nalia tu huku huyo mvulana ananisubiria kwa juu nitoke aniongeze.
Ila toka hapo sijawahi kupigana mana nikawa mwoga hadi kwa wanawake wenzangu kwa hofu nikipigana nao watanipiga. π π
Hahaha,Mkuu, subiri deathday party. .
Wigi/ weaving/kubandika kucha/kope.....Kucha bandia ama chochote cha bandia mwilini kwangu, kubandika makope and the like
Kuvaa wigi, nilishawahi once sikurudia maana niliona kama nimebeba dunia kichwani
Kubeba ndoo kubwa ya maji, ni kitu cha kawaida kwa wanawake wengi ila me siwezi...naiona nzito
Kuepua sufuria jikoni bila mshikio ama cha kushikia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Weeee!! Nshazeeka hapa nadhani kuanza kucheza na hayo maji ni kujitafutia kuzama tu sasa. [emoji1787][emoji1787]
Shikamoo dada.