Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
Mbona Jina ni la Mtoto wa P-funk Majani?Mbona umenisindikiza na kicheko Kasie.
Kwani amemaanisha nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Jina ni la Mtoto wa P-funk Majani?Mbona umenisindikiza na kicheko Kasie.
Kwani amemaanisha nini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mungu ni mwema kwa kweli.Hiyo picha nimeiona kwa Ester kampostia "Daddy" jana nimecheka sana [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
😀😀😀 Joke tu, Paula hanaga shida.
Nangata na meno.Zikikua inakuaje?
Lol y upendi vazi la heshima.Sijawahi kuvaa[emoji116]View attachment 1466870
Itabidi tuangalie cha kufanya hapo brother 😀1. Sijanywa pombe
2. Sijavuta sigara
3. Sijaenda club
4. Sina drving license bado at 30's yrs old now
5. Sijaenda beach
6. Sijawah kufaya birthday party wala kuiona as siku special
aaaahaaa huyo mwanamke tu anapiga nyetoooo[emoji3][emoji3][emoji3] tangu uzaliwe?
[emoji124]aisee[emoji848][emoji848][emoji848] mi labda kunywa pombe na kwenda club ndo sijawahi
I'm so disappointed in you [emoji124]
Nilijua tu huwez kupita kimya na ni lazima tu ungekatiza kona hii.Itabidi tuangalie cha kufanya hapo brother 😀
Sijawahi kufanya kitu ambacho siyo cha kawaida. Naamini unaelewa kuwa kiubinadamu kwa wale tulio wengi, NI KAWAIDA kufanya kitu ambacho siyo cha kawaidaTangu uzaliwe hujaenda kabisa club,na pombe hujawai kuonja hata chupa moja?
Kwani hujaniona toka uzi umeanza nipo,Nilijua tu huwez kupita kimya na ni lazima tu ungekatiza kona hii.
Ahahahahaha