Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
kweli kabisa
Naona wengi wanaokula wana vitambi, uwa naiassociate na obesitysiku ukionja utajiuliza ulikua unachelewa wapi
Nyama ya kuku ndio unbeaten kwangu mpaka sasa
Naona wengi wanaokula wana vitambi, uwa naiassociate na obesity
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] cha kufutia simuhata mi niko na kitambi[emoji23][emoji23]
Kwa nilizolinganisha ndio maana nimesema "kwangu"."Unbeaten" ina maana umelinganisha hizo nyama mbili,maana yake ulishawahi kula kitimoto pia,ukagundua kuku iko juu,kama hukuwahi kula basi kauli ibaki tu hujawahi kula.
Khaa.! Kwahyo boxer ukishavaa Unatupa?[emoji51]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Natiwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] karithi kwa dada yake
Pampula kumbe humfai mdogo wanguKuhonga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijawahi piga mswaki nje ya nyumba!..zile za kibongobongo!
°Sijawahi ipenda CCM
Kama MimiSijawahi kuogelea. Lol
Hebu njoo nikufundishe. Usinitanie.Kama Mimi
Sijawahi kuogelea tangu nizaliwe
Sitaki kuaminiKama Mimi
Sijawahi kuogelea tangu nizaliwe
Thubutuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hebu njoo nikufundishe. Usinitanie.
Kweli mkuu..Sitaki kuamini