Han Solo
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 461
- 1,075
Hii ni hobby yangu namba 2Kweli mkuu..
Naishia tu kuona watu wanaogelea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni hobby yangu namba 2Kweli mkuu..
Naishia tu kuona watu wanaogelea.
Hahahah nimekumis wew mtuuPampula kumbe humfai mdogo wangu
Hivi wachaga mna nini na hela zenu
Yaani Mimi huwa naona Kama watu wanajichosha tu.Hii ni hobby yangu namba 2
Pamoja na ku have fun, unafanya mazoezi hapohapoYaani Mimi huwa naona Kama watu wanajichosha tu.
Mazoezi nitayafanya hata kwa kutembea.Pamoja na ku have fun, unafanya mazoezi hapohapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naunga mkono hoja [emoji6]Mazoezi nitayafanya hata kwa kutembea.
Kuogelea hapana kwa kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] karithi kwa dada yake
Wakati na scroll ikatokea wimbo unaimba nikasikia unatajwa. Jo jo joanna[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] loh!
[emoji23][emoji23][emoji23]Naunga mkono hoja [emoji6]
[emoji23][emoji23][emoji23]akhuuu
Unaogopa nini sasa? Tuache kuogopa sisi wanene ukaogope wewe kweli?Thubutuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nikaogelee?siwezi yaani[emoji119]
Mi nipo meku. We ndiyo huonekani.Hahahah nimekumis wew mtuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi tu kuna watu mna majibu humu ndani hamna mfanoNini sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] loh!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi tu kuna watu mna majibu humu ndani hamna mfano
Ndiyo maana nilisema siji kupanda chombo Cha maji maisha yangu yote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaogopa nini sasa? Tuache kuogopa sisi wanene ukaogope wewe kweli?