[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Ukiendelea kumuita yule kichaa shemeji kipondo kinakuhusu na hakuna wa kuamulia.
Hata mpare tu inatosha.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Nimwite nani sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata mpare tu inatosha.
Kuwa makini siku ukilala..tutaanza kuimba nyimbo za poolepooleSijawai kulala au kupata usingizi
Nataman siku nipate usingizi ata kwa kupewa dawaKuwa makini siku ukilala..tutaanza kuimba nyimbo za poolepoole
Ahahaha we jamaa kuchi mbona wako powa, hili neno mironjo nimecheka sana maana nimekumbuka mbaliMajogoo fulani hivi marefu membamba. Yana mironjo hayo.
Aisee,hongera,umewezaje yote haya?Hasa hili za kutokwenda Dar?maana kuna mahitaji fulani yanakulazim kwenda hukoSijawahi kuvaa wigi...kukodi tax..kunywa pombe..kuweka kucha za bandia..sijawahi kula Burger..sijawahi kula Sausage..sijawahi kupanda ndege na sijawahi kwenda dar...
Walitesa babu zetuWana shida gani mpaka hujawai kuwapenda?