Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Sijawahi kuvaa wigi...kukodi tax..kunywa pombe..kuweka kucha za bandia..sijawahi kula Burger..sijawahi kula Sausage..sijawahi kupanda ndege na sijawahi kwenda dar...
Aisee,hongera,umewezaje yote haya?Hasa hili za kutokwenda Dar?maana kuna mahitaji fulani yanakulazim kwenda huko
 
Back
Top Bottom