Kwenda cinema,Kumwabudu Boss,Kumpiga makofi mwanamke(Mke/Mpenzi),Kutongoza Mke wa mtu,na kubwa kuliko sijawahi kuonea wivu maisha ya watu walionizidi elimu,mali n.kWakuu,
Kuna vitu katika maisha ambavyo ni kawaida kufanywa na watu kila Siku,lakini inawezekana kwa wengine wakawa hawajawahi kufanya kabisa.
Sababu inaweza kuwa kutopenda,kukosa muda,sababu za kiimani nk.
Nikianza na mimi:
1. Sijawahi kabisa kutengeneza juisi ya matunda (Shalubati) katika maisha yangu, pamoja na kwamba huwa natumia ila ni ile iliyotengenezwa na wengine.
2. Sina kabisa akaunti kwenye mitandao maarufu hii mitatu ya Facebook, Instagram na Twitter, habari nyingi napata JF na vyanzo vingine.
Je, wewe ni kitu gani ambacho wengine huona ni cha kawaida kufanya ila kwa upande wako hujawai kufanya?
kuogelea kuna njia yake tu yakukusahaulisha stress zako, jaribu aiseeSijawahi kuogelea. Lol
Kumwabudu Boss inakuwaje?Kwenda cinema,Kumwabudu Boss,Kumpiga makofi mwanamke(Mke/Mpenzi),Kutongoza Mke wa mtu,na kubwa kuliko sijawahi kuonea wivu maisha ya watu walionizidi elimu,mali n.k
Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Kuabudu huja kwa kujikabidhi. Unapoikabidhi nafsi yako ndipo unapopaabudu. Dalili mojawapo ya kumwabudu Boss ni kufanya kila anachokuagiza hata kama kinafisha utu.Kumwabudu Boss inakuwaje?
Sawa kabisa na ukifikia hio level ujue unatumika,maana huwezi kufanya maamuziKuabudu huja kwa kujikabidhi. Unapoikabidhi nafsi yako ndipo unapopaabudu. Dalili mojawapo ya kumwabudu Boss ni kufanya kila anachokuagiza hata kama kinafisha utu.
Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa. Mimi nimeshindwa kabisa. Nimefanya kazi taasisi tano tofauti tofauti. Huwa nawaheshimu kama watu wengine tu. Wakitaka niwaabudu wamenikosa!Sawa kabisa na ukifikia hio level ujue unatumika,maana huwezi kufanya maamuzi
UNAKOSA MENGI🤣Pombe!, daah hii kitu bado aisee ila...!!!🤔
Mimi piaSIJAWAHI KUPANDA NDEGE
Me tooKula biriani