Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Majogoo fulani hivi marefu membamba. Yana mironjo hayo.Hivi majogoo ya kuchi ndio yapi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majogoo fulani hivi marefu membamba. Yana mironjo hayo.Hivi majogoo ya kuchi ndio yapi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siyajui[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Majogoo fulani hivi marefu membamba. Yana mironjo hayo.
Itakuwa unayajua sema jina tu ndiyo geniSiyajui[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1][emoji1][emoji1]aisee.Hivi majogoo ya kuchi ndio yapi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Majogoo fulani hivi marefu membamba. Yana mironjo hayo.
Aisee[emoji23][emoji23][emoji23]Itakuwa unayajua sema jina tu ndiyo geni
Hivi majogoo ya kuchi ndio yapi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Saint Anne utani huu wa ngumi sijapenda
Aiseee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alikuwa anatania mkuu.Saint Anne utani huu wa ngumi sijapenda
Nimeona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Enhee kama hilo
Cc Saint Anne
Sawa bosi ngoja kama nitamkosea mwaka huu kabla haujaisha nitamuomba,au hata mwakani nikimkosea nitamuombaJifunze kuomba msamaha,mthamini mwenza wako
Unawezaje?Sijawahi kuwa NEGATIVE
Inabidi uwajue walio negative, ni wengi mno huhitaji hata certificate kuwajua! Ukishawajua, wewe sasa unakuwa unafanya kinyume nao, lakini kwa yale ya kwao yaliyo negative tu! Mtu akiiponda Kenya, wewe unaanza kutafuta sifa za Kenya halafu unaisifia, akiiponda SGR unafanya hivyo vile vile. Hata hivyo inabidi kiwe ni kitu kinachotoka rohoni mwako kabisa, na si maigizo! Maana wakati mwingine unaweza ukajikuta unaigiza kuwa positive halafu kumbe uko negative, ambayo sasa ni worst case scenerio kuzidi hata ya yule ambaye yuko negative. Ukiwakubali watu kwa STRENGTHS zao bila kujali ni marafiki au maadui, you are likely to be one of the strongest positive persons in the world. Usimponde mtu aliyefanya jambo jema na zuri, kisa tu ni adui yako. Adui akifanya jema msifie, na rafiki akifanya baya, muonyeshe kuwa hujaridhika.Unawezaje?
Duuh!! Umefanya nimejikumbuka mi Mkuu mana hadi nilipo hapa na uzee huu sijawahi na sijui kuendesha baskeli.sijawahi kuendesha pikpiki wala sijui
wew unatisha zaidi, baskeli najua vizur...shida pikpik sijawah hata tamanDuuh!! Umefanya nimejikumbuka mi Mkuu mana hadi nilipo hapa na uzee huu sijawahi na sijui kuendesha baskeli.